WAGONJWA WAPYA WA CORONA 196 WAONGEZEKA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rXCNo2Kqzw/XqlNx6Mkm3I/AAAAAAALoig/47-ElDlL2vIyoCWvcszMNsbW7Ljr7nxhwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-8.jpg)
Na WAJMW-Dodoma
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ametangaza ongezeko la wagonjwa wa Corona 196 nchini huku Tanzania Bara ikiwa na Wagonjwa 174 na Zanzibar wagonjwa 22 ambao walitolewa taarifa na Waziri wa Afya Wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid na kufanya idadi ya wagonjwa wa Corona nchini kufikia 480.
Waziri Mkuu Majaliwa amesema hayo wakati akigawa magari 50 ya kubebea wagonjwa kwa wabunge wa majimbo mbalimbali tukio lililofanyika leo katika ofisi ya Waziri Mkuu iliyopo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Tanzania imethibitisha wagonjwa wapya 196
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dLPGlaADW-w/XpbC5GNBqJI/AAAAAAALnAo/PFhiXakVTDAEtYY1q3vdHWBuacvmbKNHACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-15%2Bat%2B11.08.33%2BAM.jpeg)
5 years ago
MichuziWagonjwa wapya 53 wa corona waongezeka, Amana Sasa kupokea wenye dalili badala ya Muhimbili
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tUNFg79Qh_k/Xpwwif9yE9I/AAAAAAALnaY/f2gHzQQD4ckNVfwJu0R8X0VkYp3Ydy7cQCLcBGAsYHQ/s72-c/zanzibar%252Bpic.jpg)
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Wagonjwa wanne wa Corona waongezeka Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dkvo-J-2TP4/Xosx9vOYvWI/AAAAAAALmLk/L5XOqF-owsU_6fZLrlO9lllVQYoisfBbgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B4.36.22%2BPM.jpeg)