ZANZIBAR WAGONJWA WA CORONA WAONGEZEKA 6 WAPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dLPGlaADW-w/XpbC5GNBqJI/AAAAAAALnAo/PFhiXakVTDAEtYY1q3vdHWBuacvmbKNHACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-15%2Bat%2B11.08.33%2BAM.jpeg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tUNFg79Qh_k/Xpwwif9yE9I/AAAAAAALnaY/f2gHzQQD4ckNVfwJu0R8X0VkYp3Ydy7cQCLcBGAsYHQ/s72-c/zanzibar%252Bpic.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rXCNo2Kqzw/XqlNx6Mkm3I/AAAAAAALoig/47-ElDlL2vIyoCWvcszMNsbW7Ljr7nxhwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-8.jpg)
WAGONJWA WAPYA WA CORONA 196 WAONGEZEKA NCHINI
Na WAJMW-Dodoma
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ametangaza ongezeko la wagonjwa wa Corona 196 nchini huku Tanzania Bara ikiwa na Wagonjwa 174 na Zanzibar wagonjwa 22 ambao walitolewa taarifa na Waziri wa Afya Wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid na kufanya idadi ya wagonjwa wa Corona nchini kufikia 480.
Waziri Mkuu Majaliwa amesema hayo wakati akigawa magari 50 ya kubebea wagonjwa kwa wabunge wa majimbo mbalimbali tukio lililofanyika leo katika ofisi ya Waziri Mkuu iliyopo...
5 years ago
MichuziWagonjwa wapya 53 wa corona waongezeka, Amana Sasa kupokea wenye dalili badala ya Muhimbili
SERIKALI imetangaza watu wapya 53 ambao wameambukizwa VIRUSI vya Corona nchini na hivyo kufanya jumla ya wagonjwa kufikia 147 tangu kutajwa kwa mgonjwa wa kwanza tarehe 16/03/2020, huku Hospitali ya Rufaa ya Amana ikiagizwa rasmi kupokea wagonjwa wenye dalili ya ugonjwa wa Corona badala ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona:Wagonjwa wapya 15 wa corona waripotiwa Zanzibar
Wizara ya Afya kisiwani Zanzibar imethibitisha kuwa na ongezeko la wagonjwa wapya 15 wa virusi vya corona na kufikia wagonjwa 98 waliothibitika kuambukizwa visiwani humo kutoka wagonjwa 83 ambao walitolewa taarifa tarehe 22 April 2020.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Tanzania yatangaza wagonjwa 7 wapya kisiwani Zanzibar
Wizara ya Afya kisiwani Zanzibar imetangaza wagonjwa saba wapya wa virusi vya corona .
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vzlvz6kBlfY/XqfiW9iAbKI/AAAAAAALobs/9oQz_YXr6iQ-3938_Ky3wWKIGzYL6kjlgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Wagonjwa wanne wa Corona waongezeka Tanzania
Tanzania imethibitisha kuwepo kwa watu wanne walioambukizwa virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
Wagonjwa 10 wanatoka katika mji wa Nairobi, 9 wanatoka Mombasa, Kwale , Nakuru na Taita taveta kukiwa na mgonjwa mmojammoja.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dkvo-J-2TP4/Xosx9vOYvWI/AAAAAAALmLk/L5XOqF-owsU_6fZLrlO9lllVQYoisfBbgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B4.36.22%2BPM.jpeg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania