Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAGONJWA WA CORONA WAONGEZEKA, WAFIKIA 22 TUENDELEE KUJIKINGA


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wagonjwa wanne wa Corona waongezeka Tanzania

Tanzania imethibitisha kuwepo kwa watu wanne walioambukizwa virusi vya corona.

 

5 years ago

Michuzi

WAGONJWA WAPYA WA CORONA 196 WAONGEZEKA NCHINI


Na WAJMW-Dodoma

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ametangaza ongezeko la wagonjwa wa Corona 196 nchini huku Tanzania Bara ikiwa na Wagonjwa 174 na Zanzibar wagonjwa 22 ambao walitolewa taarifa na Waziri wa Afya Wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid na kufanya idadi ya wagonjwa wa Corona nchini kufikia 480.

Waziri Mkuu Majaliwa amesema hayo wakati akigawa magari 50 ya kubebea wagonjwa kwa wabunge wa majimbo mbalimbali tukio lililofanyika leo katika ofisi ya Waziri Mkuu iliyopo...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU MAJALIWA: WAGONJWA WAWILI WA CORONA WAONGEZEKA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema jana (5 Aprili, 2020) wagonjwa wawili wa corona wameongezeka, hivyo Tanzania ina jumla ya watu 22 waliothibitishwa kuwa na homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) na kwamba wote wanaendelea vizuri.
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewaagiza Wakuu wa Mikoa waimarishe ulinzi kwenye vituo vyote vilivyotengwa kwa ajili ya kuwaweka watu wote wanaoingia nchini na wahakikishe hakuna anayetoka ili kuepuka kusambaa kwa virusi vya corona.
Waziri...

 

5 years ago

CCM Blog

WAGONJWA CORONA KENYA WAFIKIA 246

  Kenya imetangaza kuwa na wagonjwa 246 wa corona baada ya kuthibitisha watu 12 wapya wameambukizwa virusi vya ugonjwa wa Covid 19.
Katika taarifa waziri wa afya wa Kenya Mutahi Kagwe, amesema watano kati ya wale walioambukizwa virusi vya corona ni wahudumu wa hoteli na kuongeza kuwa idadi hiyo ilifikiwa baada ya jumla ya sampuli 450 kufanyiwa uchunguzi.
Jana Rais Uhuru Kenyata alitangaza hatua zifuatazo kukabiliana na Corona nchini humo.
1.Wizara ya Afya na huduma za umma itaanzisha hazina ya...

 

5 years ago

CCM Blog

KENYA WAGONJWA WA CORONA WAFIKIA 234


  Idadi ya wagonjwa wa virusi vya coronavirus nchini Kenya  sasa imefikia 234 baada ya watu 9 zaidi kuthibitishwa kuambukizwa ugonjwa huo.

Hayo ni kwa mujibu wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye amelihutubia taifa hilo leo Alhamisi  April 16 akiwa Ikulu ya Nchi hiyo.

Kenyatta amesema kwamba serikali ilipima sampuli zingine 704 kwa muda wa saa 24 zilizopita na ndipo hao  watu  tisa wakathibitishwa kuugua. 
Uhuru pia amesema idadi ya watu 53 wamepona kabisa na kuruhusiwa kwenda nyumbani tangu...

 

5 years ago

CCM Blog

KENYA WAFIKIA 281 WAGONJWA WA CORONA

  Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe ametangaza visa vipya 11 vya COVID-19 nchini humo na idadi ya waathirika wa ugonjwa huo imefikia 281.
Wagonjwa wapya wote hawajasafiri siku za hivi karibuni, na watatu waliotokea Mombasa walikuwa karibu na Mgonjwa wa Corona aliyepoteza maisha wiki moja iliyopita
Mbali ya ongezeko la waathirika nchini humo, imetangazwa kuwa wagonjwa wawili wa COVID-19 wamepona na jumla ya waliopona nchini humo hadi sasa ni 69
Watu wapatao 13,872 wamepimwa tangu Virusi vya Corona...

 

5 years ago

CCM Blog

WAGONJWA WA CORONA KENYA WAFIKIA 384

  Idadi ya walioambukizwa virusi vya Corona nchini Kenya yafikia 384, ni baada ya wagonjwa wapya 10 kuongezeka ambapo tisa ni kutoka Mombasa na mmoja ni kutoka Nairobi.
Akiongea na Waandishi wa habari leo, Aprili 29, 2020 Katibu wa Afya Mercy Mwangangi amesema katika saa 24 zilizopita sampuli 580 kutoka kaunti 24 zilipimwa dhidi ya homa hiyo. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani