MWANAMKE AKUTWA NDANI KWA MTU
![](http://api.ning.com:80/files/TxtLZ0aSbwzKKt*4mAkpvepQJxlCgWFgOXTQGlBNOw8VMZ6kV6waGJimLfbHol2NZdjvplzKKF5ZjqPJsje81Fh0QKNaLO6o/Uchawi.jpg?width=650)
Mwandishi wetu, Mwanza MAUZAUZA! Mwanamke mmoja mtu mzima, ambaye jina lake halikufahamika mara moja amekutwa akiwa ndani ya nyumba ya mtu pasipo kueleweka namna alivyoingia, kwani milango yote ilikuwa imefungwa kwa ndani. Tukio hilo lilijiri hivi karibuni majira saa 2 asubuhi maeneo ya Majengo, wilayani Misungwi, mkoani Mwanza na kujaza watu wengi. Shuhuda wa tukio hilo aliliambia gazeti hili kuwa walisikia kelele za mtu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Mwanamke akutwa amekufa gesti
WATU watatu wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio matatu tofauti, akiwemo mwanamke asiyefahamika jina anayekadiriwa kuwa na miaka 25-30 aliyekutwa amefariki katika nyumba ya kulala wageni huku...
11 years ago
Habarileo27 Feb
Mwanamke wa Tanga akutwa na bangi Zanzibar
MWANAMKE aliyetambuliwa kwa jina la Mwanaisha Is-haqa Ayoub (40) mkazi wa Tanga anashikiliwa na polisi baada ya kukamatwa na mafurushi 22 ya majani makavu yanayosadikiwa kuwa ni bangi akitoka Tanga.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2MN-fR40TvA/VIsQimHJnPI/AAAAAAAG2t0/-PINyFVOVqo/s72-c/MMGM0878.jpg)
Mtu mmoja akutwa amekufa porini leo
Hali ya sintofahamu iliendelea kutanda katika eneo hilo huku kila alieweza kufika katika eneo hilo la tukio akiwa na mshangao wa kipi kilichomsibu mtu huyo mpaka kufikwa na mauti ya aina hiyo.
Akizungumza mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo ambaye...
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Mtu wa kwanza akutwa na virusi hivyo Kenya
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Mtu wa pili akutwa na virusi hivyo DR Congo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hcQhoKy6yeiZLQO08eb-HGECHZfVf48XCEEJGKVC8DHYwfZdMBkF7mBvUaPvYd6Cr9SMH8F6YIT3zafVfvou6nA/BACK.jpg?width=650)
FEDHEHA KUBWA MUME WA MTU AKUTWA NA CHANGUDOA AKIVAA SURUALI
11 years ago
CloudsFM06 Jun
CHATU AZUA KIZAAZAA ARUSHA AINGIA KWENYE NYUMBA YA MTU AKUTWA AMEFUNGWA KITAMBAA CHEUPE
Wakazi wa eneo la Sakina mkoani Arusha siku ya jana walipatwa na mshtuko mkubwa baada ya kuona chatu akiwa anaingia ndani ya nyuma ya jirani yao huku akiwa amefungwa kitambaa kilichokuwa na maandishi mekundu yasiyoeleweka mkiani mwake.
Hiki ndicho kitambaa alichokutwa nacho chatu huyo.
Source:Arusha Yetu
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
India: Wanaume wanne wanyongwa kwa kumbaka mwanamke ndani ya basi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7UMA9RJ68-c/VJKfqPu6zwI/AAAAAAAAoq4/e4gt_7H3VVc/s72-c/100_1392%2Bcopy.jpg)
mtu mmoja akutwa amekufa kando kando ya mto Ilolo,jijini Mbeya
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UMA9RJ68-c/VJKfqPu6zwI/AAAAAAAAoq4/e4gt_7H3VVc/s1600/100_1392%2Bcopy.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI