Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Mtu wa pili akutwa na virusi hivyo DR Congo

Kisa cha pili cha maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus kimethibitishwa nchini Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mtu wa kwanza akutwa na virusi hivyo Kenya

Kisa cha kwanza cha virusi vya corona chathibitishwa Kenya

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Beki wa kati, Daniele Rugani akutwa na virusi , wachezaji wa Arsenal wajiweka karantini

Juventus imetangaza kwamba beki wa kati wa Italia Daniele Rugani amepatikana na virusi corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je maambukizi ya mwisho ya virusi hivyo yatafanyika wapi?

Chini ya miezi mitatu iliyopita- virusi vya coronavirus vilikua ndani ya Uchina pekee. Hapakua na kisa hata kimoja kilichokua kimepatikana nje ya nchi hiyo ambako virusi hivyo vilianzia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanasayansi waelezea chanzo cha virusi hivyo

Mlipuko wa virusi vya corona ambao umewawacha zaidi ya watu milioni moja wakiwa wameambukizwa na wengine 60,000 wakiwa wamefariki umebadilisha ulimwengu ulivyokuwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya coroni: Je maiti ya mgonjwa wa corona inaweza kusambaza virusi hivyo?

Maswali mengi kuhusu jinsi ya kuzika maiti ya muathirika wa covid-19 yamekuwa yakijibiwa shirika la WHO.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Madereva 4 wa malori kutoka Tanzania wakutwa na virusi hivyo Uganda

Wizara ya afya nchini Uganda imetangaza wagonjwa wanne wapya wa virusi vya corona na kufanya idadi ya wanaothirika na ugonjwa huo kufikia 79.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Utafiti wa kubaini iwapo mbwa anaweza kugundua virusi hivyo umeanzishwa

Mbwa hao tayari wamefunzwa jinsi ya kunusa harufu ya saratani, malaria na ugonjwa wa parkinson

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Fahamu kinachotokea ndani ya mwili mtu akipata virusi hivi

Mtu anahisi vipi anapokuwa coronavirus, virusi hivi vitakuathiri namna gani na tiba ikoje?

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani

Kikundi cha vijana wenye afya nzuri mjini Seattle wamedungwa virusi kwa ajili ya kufanyiwa utafiti wa chanjo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani