Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Beki wa kati, Daniele Rugani akutwa na virusi , wachezaji wa Arsenal wajiweka karantini

Juventus imetangaza kwamba beki wa kati wa Italia Daniele Rugani amepatikana na virusi corona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wabunge wa Chadema wajiweka karantini kuepuka kusambaa kwa virusi.

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, kimewataka wafuasi wake bungeni kuacha kujhudhuria vikao vya bunge na kukaa mbali na majengo ya bunge ya Dodoma na Dar es salaam ili kuzuwia kusambaa kwa virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mikel Arteta: Mkufunzi wa Arsenal akutwa na virusi vya corona

Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta amekutwa na virusi vya uvya ugonjwa wa corona na mechi kati ya timu yake na Brighton iliyotarajiwa kuchezwa wikiendi imeahirishwa

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mtu wa pili akutwa na virusi hivyo DR Congo

Kisa cha pili cha maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus kimethibitishwa nchini Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mtu wa kwanza akutwa na virusi hivyo Kenya

Kisa cha kwanza cha virusi vya corona chathibitishwa Kenya

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tofauti kati ya virusi vya corona, homa ya kawaida na mzio

Kuwasili kwa virusi vya corona kumezua shaka kuhusu tofauti ya dalili za ugonjwa huo na zile za homa ya kawaida.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mapambano ya nyuma ya pazia kati ya Marekani na China baada ya mlipuko wa virusi vya corona

Virusi vya corona vinaweza kuthibitisha kati ya mataifa hayo yenye nguvu duniani nani anapaswa kuwa juu ya mwingine

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je kinga ya virusi vya corona itaziba pengo la chanjo kati ya nchi tajiri na maskini?

"Changamoto itakuwa ni kuhakikisha kwamba kuna chanjo ya kutosha kwa watu anaohitaji kutoka nchi tajiri lakini pia kwa nchi maskini vilevile."

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson akutwa na coronavirus

Bwana Johnson amekutwa na coronavirus, baada ya kufanyiwa vipimo, imesema ofisi yake Downing Street.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mkenya aelezea hofu ya kuwekwa karantini

Wakenya wanahofia zaidi kuwekwa karantini kuliko ya kuzuia corona na kuzifananisha na jela.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani