Mtu mmoja akutwa amekufa porini leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-2MN-fR40TvA/VIsQimHJnPI/AAAAAAAG2t0/-PINyFVOVqo/s72-c/MMGM0878.jpg)
MTU mmoja anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 27 mpaka 30 ambaye jina lake halijafahamika mpaka sasa amekutwa akining'inia juu ya mti wa Mwembe uliopo katika pori lililopo nje kidogo ya mji wa Pongwe,Mkoani Tanga akidhaniwa kuwa amejinyonga.
Hali ya sintofahamu iliendelea kutanda katika eneo hilo huku kila alieweza kufika katika eneo hilo la tukio akiwa na mshangao wa kipi kilichomsibu mtu huyo mpaka kufikwa na mauti ya aina hiyo.
Akizungumza mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo ambaye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7UMA9RJ68-c/VJKfqPu6zwI/AAAAAAAAoq4/e4gt_7H3VVc/s72-c/100_1392%2Bcopy.jpg)
mtu mmoja akutwa amekufa kando kando ya mto Ilolo,jijini Mbeya
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UMA9RJ68-c/VJKfqPu6zwI/AAAAAAAAoq4/e4gt_7H3VVc/s1600/100_1392%2Bcopy.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Habarileo02 Feb
Mtangazaji akutwa amekufa
WAKAZI wawili wa jijini Dar es Salaam wamekutwa wamekufa katika vyumba vyao akiwemo mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha East Africa(EATV), Kennedy Kidago (37).
11 years ago
Habarileo11 Jun
Akutwa amekufa chumbani kwake
MFANYABIASHARA Mkazi wa Kigogo, Kinondoni, Idd Abdalah (31) amekutwa amekufa chumbani kwake huku mwili wake ukiwa hauna jeraha lolote.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Mwanamke akutwa amekufa gesti
WATU watatu wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio matatu tofauti, akiwemo mwanamke asiyefahamika jina anayekadiriwa kuwa na miaka 25-30 aliyekutwa amefariki katika nyumba ya kulala wageni huku...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Mchungaji TAG akutwa amekufa shambani
10 years ago
Habarileo19 Feb
Mtoto aliyetekwa Geita akutwa amekufa
MTOTO Yohana Bahati mwenye ulemavu wa ngozi (albino), aliyetekwa katika Kijiji cha Ilelema wilayani Chato katika Mkoa wa Geita, mwili wake umekutwa ukiwa umefukiwa huku umenyofolewa miguu na mikono.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S0O8FKf2MnY/U-zg2vOZdYI/AAAAAAAF_q8/575lpAvP_8E/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-08-14%2Bat%2B7.14.39%2BPM.png)
DEREVA TEXI ALIYEPOTEA AKUTWA AMEKUFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-S0O8FKf2MnY/U-zg2vOZdYI/AAAAAAAF_q8/575lpAvP_8E/s1600/Screen%2BShot%2B2014-08-14%2Bat%2B7.14.39%2BPM.png)
BAADA ya dereva wa Texi Richard Ponera (36) mkazi wa Mwendapole wilayani Kibaha mkoani Pwani kupotea kwa siku nane amepatikana akiwa ameuwawa na kuporwa gari alilokuwa akiliendesha.
Marehemu ambaye alikuwa akifanyia shughuli zake kwenye kituo kikuu cha Mabasi cha Maili Moja wilayani humo alipotea Agosti 6 Mwaka huu majira ya saa 1 usiku alipokodishwa na watu wawili wasio fahamika waliojifanya kuwa ni wateja.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu...
11 years ago
Habarileo21 Mar
Akutwa amekufa choo cha kulipia
MFANYABIASHARA wa mboga mkazi wa Magomeni, Dar es Salaam, Jamhuri Ally (53) amekutwa amekufa ndani ya choo cha kulipia eneo la Kisutu, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Daktari Nyamagana akutwa amekufa gesti
WATU wanne wameripotiwa kufariki dunia katika matukio tofauti akiwemo daktari wa Hospitali ya Nyamagana, Raymond Simon (36), mkazi wa Nyamagana, Mwanza aliyekutwa amekufa katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Nesta...