FEDHEHA KUBWA MUME WA MTU AKUTWA NA CHANGUDOA AKIVAA SURUALI
![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hcQhoKy6yeiZLQO08eb-HGECHZfVf48XCEEJGKVC8DHYwfZdMBkF7mBvUaPvYd6Cr9SMH8F6YIT3zafVfvou6nA/BACK.jpg?width=650)
WAANDISHI WETU Ikiwa kwenye misele ya mlala nje, ile Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, imenasa tukio la aina yake ambapo mwanaume aliyejitambulisha kuwa ni mume wa mtu amekutwa na mwanamke changudoa akivaa suruali baada ya kuvunja amri ya sita ya Mungu kwenye eneo la biashara ya mamantilie! Wakihamaki baada ya kukurupushwa. Tukio hilo la aina yake lilinaswa kwenye uchochoro mmoja, maeneo ya Mwenge, Dar,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkyw24L58YC0yYMbqKiJbM8hXwvypZYFJgtof*8e0FXmx8DDPGlNJir1T5nfnOQIqyuFD-br-ieTEMymnk-m7s48/uwoya.jpg)
UWOYA BANA! AFANYA FUJO KUBWA NYUMBANI KWA MUME WA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7l-wHj5OnnlF5cRYGvWkpSl4m9PC1BWWJURUBuG7NCe3C-dWORDwz6afU38SaEyBzCNWgziybt560lUa1j5zMqi/MYGODZ.jpg)
MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIkwe79Xf*bMKoF4R9FbewQXeyINX6RzAGzhSuWOwPYDD5JgyVpjIVKOxRsXcX26sWJiOYVK9626gtBKHQVuzb2/mkewamtusumu.jpg?width=650)
MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU
9 years ago
Bongo522 Dec
Kitendo cha kupupuruka mwili nikawa kama AT kwangu itakuwa ni fedheha kubwa sana– Asema Msechu
![Peter Msechu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Peter-Msechu-300x194.jpg)
Peter Msechu hana mpango wa kupungua mwili ili awaridhishe mashabiki ambao wamekuwa wakimsema kutokana na kujiachia sana mwili.
Muimbaji huyo wa ‘Nyota’ anaamini kuwa mwonekano alionao sasa ni moja ya utambulisho wake, hivyo akipungua mwili inaweza kuharibu ‘image’ yake. Mfano wa anachokimaanisha hapo ni kama Baghdad wa zamani na alivyo sasa unaweza kumsahau baada ya kupungua sana.
Kushoto Baghdad wa sasa, kulia wa zamani
“Mi ninachokiogopa kwenye maisha yangu ni kuwa model, sababu nadhani...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TxtLZ0aSbwzKKt*4mAkpvepQJxlCgWFgOXTQGlBNOw8VMZ6kV6waGJimLfbHol2NZdjvplzKKF5ZjqPJsje81Fh0QKNaLO6o/Uchawi.jpg?width=650)
MWANAMKE AKUTWA NDANI KWA MTU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2MN-fR40TvA/VIsQimHJnPI/AAAAAAAG2t0/-PINyFVOVqo/s72-c/MMGM0878.jpg)
Mtu mmoja akutwa amekufa porini leo
Hali ya sintofahamu iliendelea kutanda katika eneo hilo huku kila alieweza kufika katika eneo hilo la tukio akiwa na mshangao wa kipi kilichomsibu mtu huyo mpaka kufikwa na mauti ya aina hiyo.
Akizungumza mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo ambaye...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dV1tnoxKrQQ/VaSWIF1dmKI/AAAAAAAAxrs/hJQjTvEPGQ0/s72-c/ema%2Bmbasha.jpg)
KAUMBUKA! MUME wa FLORA MBASHA Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji wa Shemeji Yake!
![](http://3.bp.blogspot.com/-dV1tnoxKrQQ/VaSWIF1dmKI/AAAAAAAAxrs/hJQjTvEPGQ0/s640/ema%2Bmbasha.jpg)
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.Katika shtaka hilo Mbasha anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 17 (jina linahifadhiwa) ambaye ni shemeji yake.Mbele ya Hakimu Flora Mjaya, mwendesha Mashtaka Munde Kalombola alidai mahakama imemkuta Mbasha na hatia baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji maarufu wa muziki wa...
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Mtu wa kwanza akutwa na virusi hivyo Kenya
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Mtu wa pili akutwa na virusi hivyo DR Congo