Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= MWANAMKE MWENZAKE ‘ATAITIWA’ DAR

Umati wa watu ukiwa unashangaa kitendo cha mwanadada (kushoto mwenye kitambaa cha zambarau kichwani) aliyemkwapulia 20,000 mwenzake.  Wengine wakitaka apigwe kama mwizi, wengine wakiomba asamehewe.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWANAMKE ‘BONDIA’ AMCHAKAZA MWENZAKE!

Na Mwandishi Wetu, Mara
Ooh…Nooo! Mwanamke aliyetajwa kwa jina la Tatu Wambura amefananishwa na bondia baada kumshushia kichapo kikali mwenzake, Catherine Benedicto, mkazi wa Kijiji cha Buhundwe, wilayani Rorya, mkoani hapa kwa kosa la kupitisha ng’ombe kwenye shamba lake. Catherine Benedicto, aliyejeluhiwa na Tatu wambula kwa makonde mazito. Imeelezwa kuwa, tukio hilo lilitokea Jumatano iliyopita majira ya saa...

 

9 years ago

Bongo5

Binti wa Askofu Desmond Tutu afunga ndoa na mwanamke mwenzake

Mpho+Tutu

Canon Mpho Tutu‚ mtoto wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini amefunga ndoa na mwanamke mwenzake, Professor Marceline Furth kwenye sherehe ndogo iliyofanyika Alhamis iliyopita nchini Uholanzi.

page (1)

Canon Tutu ni Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Desmond & Leah Tutu Legacy Foundation. Professor van Furth ni mhadhiri wa Paediatric Infectious Diseases kwenye chuo kikuu cha Vrije cha jijini Amsterdam.

Hiyo ndio ya pili kwa wote wawili. Ndoa yao itasherehekewa mjini ted in Cape Town May 2016.

Jiunge...

 

11 years ago

GPL

TUZO YA MWANAMKE BORA, HESHIMA YA KWELI YA MWANAMKE, PINDA NI MSOMI WA UWAZI

Mgeni rasmi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akihutubia kabla ya kukabidhi tuzo. Na Luqman Maloto Mwanamke wa…

 

11 years ago

GPL

DIDA AZUA TIMBWILI BAADA YA KUNG'ANG'ANIWA NA MWANAMKE MWENZAKE

Stori: Richard Bukos DUNIA ina mambo! Prizenta wa Radio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ amezua timbwili baada ya kung’ang’aniwa na mwanamke mwenzake aliyedaiwa kutaka kumshawishi afanye naye mapenzi ya jinsi moja (usagaji). Prizenta wa Radio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ Dida alikumbwa na ishu hiyo, Alhamisi ya wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar, wakati...

 

5 years ago

Michuzi

JAMBO YAMCHANGIA SHILINGI 500,000/= KUONGEZA MTAJI MWANAMKE SHUJAA MWENYE ULEMAVU


Kampuni ya Utengenezaji na Usambazaji wa Vinywaji baridi ‘Jambo Food Products Limited’ ya mkoani Shinyanga imemsaidia mtaji wa shilingi 500,000/= Mwanamke mwenye ulemavu Happiness Kwigema anayejishughulisha na biashara ya pipi na sabuni za kufulia Mjini Shinyanga.

Fedha hizo Taslimu zimekabidhiwa na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) kwenye Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani ambayo katika mkoa wa Shinyanga yaliyofanyika katika kijiji cha Iselamagazi kata...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE DAR AJIFUNGUA CHATU!

WAANDISHI WETU/Amani MAAJABU! Ama kweli dunia ina mambo na ya Mungu mengi! Mwanamke mmoja, mkazi wa Mbezi- Maua jijini Dar aliyefahamika kwa jina moja la Neema, amelea ujauzito wake kwa miezi tisa yenye matumaini lakini siku ya kujifungua akaambulia kiumbe cha ajabu kilichofanana na nyoka aina ya chatu, Amani limeifuatilia habari hii kwa kina. Neema anayedaiwa kujifungua Chatu. Kwa mujibu wa chanzo chetu, awali Neema alikuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke kinara wa ujambazi mbaroni Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata mtandao hatari wa majambazi kumi, mmoja akiwa ni mwanamke anayeshiriki kikamilifu wakati wa matukio ya ujambazi. Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamke Dar kortini kwa heroini

Mfanyabiashara na mkazi wa Mikocheni, Christina Kigahe (36) jana alipandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu ya kuingiza nchini dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh99 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani