Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Binti wa Askofu Desmond Tutu afunga ndoa na mwanamke mwenzake

Mpho+Tutu

Canon Mpho Tutu‚ mtoto wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini amefunga ndoa na mwanamke mwenzake, Professor Marceline Furth kwenye sherehe ndogo iliyofanyika Alhamis iliyopita nchini Uholanzi.

page (1)

Canon Tutu ni Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Desmond & Leah Tutu Legacy Foundation. Professor van Furth ni mhadhiri wa Paediatric Infectious Diseases kwenye chuo kikuu cha Vrije cha jijini Amsterdam.

Hiyo ndio ya pili kwa wote wawili. Ndoa yao itasherehekewa mjini ted in Cape Town May 2016.

Jiunge...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Askofu Desmond Tutu apata afueni

Askofu wa Afrika kusini Desmond Tutu amerejea nyumbani kutoka hospitalini ambako amekuwa akipata matibabu ya kansa ya tezi dume

 

11 years ago

BBCSwahili

Askofu Desmond Tutu akemea ANC

Askofu mkuu nchini Afrika Kusini Desmond Tutu, amesema kuwa Nelson Mandela angechukizwa sana na ANC kukosa kuwajumuisha watu wa jamii ya Afrikaans kwenye ibada za mazishi yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu Desmond Tutu ana tezi dume

Askofu mkuu mstaafu wa Cape Town,Desmond Tutu,ameahirisha mipango ya ziara zake kwa mwaka mzima ujao kutokana na sababu za kiafya.

 

10 years ago

GPL

ASKOFU DESMOND TUTU ANASUMBULIWA NA TEZI DUME

Askofu Mkuu Mstaafu wa Cape Town, Desmond Tutu. ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Cape Town, Desmond Tutu, ameahirisha mipango ya ziara zake kwa mwaka mzima ujao kutokana na sababu za kiafya. Taarifa iliyotolewa na taasisi yake imeeleza kuwa Askofu huyo ataanza matibabu hivi karibuni ili kukabiliana na tezi dume ambayo amedumu nayo miaka 15 iliyopita. Binti wa Askofu huyo amemuelezea baba yake mwenye umri wa miaka 82, kwamba hatahudhuria...

 

11 years ago

CloudsFM

AMINI AFUNGA NDOA NA MSANII MWENZAKE (WA KUNDI LA KANTANGAZE)

Msanii wa bongo flava kutoka Tanzania House of Talent(THT), Amini Mwinyimkuu jana alifunga ndoa na msanii mwenzake wa Bongo Flava, Farida aliyeimba wimbo wa Kantangaze, ilikua ni mida ya saa mbili usiku katika msikiti mmoja uliopo maeneo ya Magomeni Kagera.Amini alikuwa anaonekana kidogo kama anaumwa, gesi ilikua imejaa tumboni Sikiliza hapa Amini akila kiapo cha ndoa mbele ya baba yake Farida na zoezi zima likisimamiwa na Ustaadh Rashid Said.

 

9 years ago

BBC

Desmond Tutu in hospital for two weeks

South Africa's Archbishop Desmond Tutu is to spend the next two weeks in hospital, according to a family statement.

 

10 years ago

BBC

Desmond Tutu returns to hospital

South Africa's Archbishop Desmond Tutu returns to hospital a week after being discharged with a persistent infection.

 

10 years ago

BBCSwahili

Desmond Tutu alazwa hospitalini

Askofu mstaafu Desmond Tutu amelazwa katika hospitali moja mjini Cape Town Afrika Kusini.

 

11 years ago

BBC

Desmond Tutu backs assisted dying

The retired Anglican Archbishop of South Africa Desmond Tutu says he "reveres the sanctity of life" but supports assisted dying.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani