Askofu Desmond Tutu akemea ANC
Askofu mkuu nchini Afrika Kusini Desmond Tutu, amesema kuwa Nelson Mandela angechukizwa sana na ANC kukosa kuwajumuisha watu wa jamii ya Afrikaans kwenye ibada za mazishi yake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Askofu Desmond Tutu apata afueni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcXsURABBLfZb-QGcR5KKTlXi2dm1iJJPr42acn7pbXbCC5KBLNDZTkyayNDT8S6F8tKbCpt-biQ57SN9v56ozah/desmondtutu.jpg?width=650)
ASKOFU DESMOND TUTU ANASUMBULIWA NA TEZI DUME
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Askofu Desmond Tutu ana tezi dume
9 years ago
Bongo504 Jan
Binti wa Askofu Desmond Tutu afunga ndoa na mwanamke mwenzake
![Mpho+Tutu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/MphoTutu-300x194.jpg)
Canon Mpho Tutu‚ mtoto wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini amefunga ndoa na mwanamke mwenzake, Professor Marceline Furth kwenye sherehe ndogo iliyofanyika Alhamis iliyopita nchini Uholanzi.
Canon Tutu ni Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Desmond & Leah Tutu Legacy Foundation. Professor van Furth ni mhadhiri wa Paediatric Infectious Diseases kwenye chuo kikuu cha Vrije cha jijini Amsterdam.
Hiyo ndio ya pili kwa wote wawili. Ndoa yao itasherehekewa mjini ted in Cape Town May 2016.
Jiunge...
10 years ago
BBC29 Jul
Desmond Tutu returns to hospital
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Desmond Tutu alazwa hospitalini
9 years ago
BBC20 Aug
Desmond Tutu in hospital for two weeks
10 years ago
BBCSwahili15 May
Desmond Tutu amshtaki mjukuu wake
10 years ago
BBC21 Jul
Archbishop Desmond Tutu leaves hospital