Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMINI AFUNGA NDOA NA MSANII MWENZAKE (WA KUNDI LA KANTANGAZE)

Msanii wa bongo flava kutoka Tanzania House of Talent(THT), Amini Mwinyimkuu jana alifunga ndoa na msanii mwenzake wa Bongo Flava, Farida aliyeimba wimbo wa Kantangaze, ilikua ni mida ya saa mbili usiku katika msikiti mmoja uliopo maeneo ya Magomeni Kagera.Amini alikuwa anaonekana kidogo kama anaumwa, gesi ilikua imejaa tumboni Sikiliza hapa Amini akila kiapo cha ndoa mbele ya baba yake Farida na zoezi zima likisimamiwa na Ustaadh Rashid Said.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Binti wa Askofu Desmond Tutu afunga ndoa na mwanamke mwenzake

Mpho+Tutu

Canon Mpho Tutu‚ mtoto wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini amefunga ndoa na mwanamke mwenzake, Professor Marceline Furth kwenye sherehe ndogo iliyofanyika Alhamis iliyopita nchini Uholanzi.

page (1)

Canon Tutu ni Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Desmond & Leah Tutu Legacy Foundation. Professor van Furth ni mhadhiri wa Paediatric Infectious Diseases kwenye chuo kikuu cha Vrije cha jijini Amsterdam.

Hiyo ndio ya pili kwa wote wawili. Ndoa yao itasherehekewa mjini ted in Cape Town May 2016.

Jiunge...

 

11 years ago

Dewji Blog

Msanii Mwajuma Jimama afunga ndoa na Melela Mussa

1926661_717240758322070_5857980012469033852_n

Msanii wa Filamu na unenguaji Mwajuma Thabiti ‘Mwajuma Jimama’ akiwa katika pozi na mume wake Melela Mussa baada ya kufunga ndoa hivi karibuni Ilala Bungoni na kufuatia na sherehe kubwa bwana harusi ni mfanya biashara na Biharusi ni msanii wa kujitegemea.

 

10 years ago

GPL

MAMA MZAZI WA BEYONCE, TINA AFUNGA NDOA YA PILI NA MSANII RICHARD LAWSON

Mama Beyonce, Tina akiwa na mumewe Richard Lawson siku ya ndoa yao juzi Jumapili. Tina akiwa na mwanaye Beyonce mwaka 2013. Kifamilia zaidi: Familia hii imekuwa na baraka baada ya mwaka jana Solange (wa kwanza kulia) kufunga ndoa na Alan Ferguson. Pichani ni Beyonce, Jay Z na Tina. MAMA…

 

11 years ago

GPL

AMINI AANIKA SIRI NDOA YA FASTA, ABADILI JINA

Stori: Musa Mateja
Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT’, Amini Mwinyimkuu amefunguka kuwa, aliamua kufunga ndoa ya fasta ili kuuwahi mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT’, Amini Mwinyimkuu. Akizungumza na Ijumaa  hivi karibuni, Amini ambaye amemuoa binti aitwaye  Farida Bashiri alisema ilikuwa vigumu kufanya sherehe kubwa...

 

10 years ago

Michuzi

MSANII WA KUNDI LA KAOLE AFARIKI DUNIA

MSANII wa maigizo aliekuwa kwenye Kundi la Kaole,Mwajuma Abdallah ‘Mama Mashaka’ (pichani) amefariki dunia siku ya Alhamis akiwa nyumbani kwake Yombo Reli,Kiwalani na baadae mwili wake kwenda kuhifadhiwa Hospitali ya Amana,Ilala jijini Dar es salaam.
Taarifa za msiba huo zilitolewa jana na Watoto wa Marehemu kwa ndugu na majirani wa eneo hilo,huku tetesi zikienea kwamba wamefanya hivyo ili kukwepa aibu kwa majirani kutokana na nyumba aliyokuwa akiishi mama yao huyo kuwa ni chakavu,hivyo...

 

10 years ago

Vijimambo

Yesaya Ambilikile YP msanii wa kundi la TKM afariki dunia


Msanii wa kundi la TMK Wanaume Family,Yesaya Ambilikile ‘ Y- P’(kulia kwenye picha) amefariki dunia usiku wa jana katika hospitali ya Temeke baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa kifua.

 

11 years ago

GPL

NASSARI AFUNGA NDOA

Joshua Samwel Nassari (kulia) akiwa na mke wake Anande Nko. Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga ndoa na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hoteli ya Ngurdoto. Sherehe hiyo ilianza mishale ya saa 7:00 mchana ambapo watu wote walialikwa wakiwemo ndugu, marafiki, jamaa na wananchi wote...

 

11 years ago

GPL

P FUNK AFUNGA NDOA YA SIRI

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya kuishi maisha ya kisela kwa muda mrefu, hatimaye mtayarishaji nguli wa muziki Bongo, Paul Mathyasse ‘P Funk’ ameoa kwa siri. Mtayarishaji nguli wa muziki Bongo, Paul Mathyasse ‘P Funk’ wakati wa harusi yake. Taarifa kutoka kwa chanzo makini kilichoshuhudia tukio hilo, lilichukua nafasi jijini Arusha mwishoni mwa wiki iliyopita kwa usiri mkubwa. Imeelezwa kuwa, P Funk...

 

11 years ago

GPL

MWAIKIMBA AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA

Mshambuliaji wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba akiwa na mke wake Rukia (Mary) Ally Seif. Na Khadija Mngwai MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba, ameamua kuachana na ukapera baada ya hivi karibuni kufunga pingu za maisha na mzazi mwenziye, anayejulikana kwa jina la mama Genevieve. Gaudence Mwaikimba akiwa na mke wake Rukia (Mary) Ally Seif baada ya kufunga… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani