AMINI AFUNGA NDOA NA MSANII MWENZAKE (WA KUNDI LA KANTANGAZE)
Msanii wa bongo flava kutoka Tanzania House of Talent(THT), Amini Mwinyimkuu jana alifunga ndoa na msanii mwenzake wa Bongo Flava, Farida aliyeimba wimbo wa Kantangaze, ilikua ni mida ya saa mbili usiku katika msikiti mmoja uliopo maeneo ya Magomeni Kagera.
Amini alikuwa anaonekana kidogo kama anaumwa, gesi ilikua imejaa tumboni Sikiliza hapa Amini akila kiapo cha ndoa mbele ya baba yake Farida na zoezi zima likisimamiwa na Ustaadh Rashid Said.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Jan
Binti wa Askofu Desmond Tutu afunga ndoa na mwanamke mwenzake
![Mpho+Tutu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/MphoTutu-300x194.jpg)
Canon Mpho Tutu‚ mtoto wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini amefunga ndoa na mwanamke mwenzake, Professor Marceline Furth kwenye sherehe ndogo iliyofanyika Alhamis iliyopita nchini Uholanzi.
Canon Tutu ni Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Desmond & Leah Tutu Legacy Foundation. Professor van Furth ni mhadhiri wa Paediatric Infectious Diseases kwenye chuo kikuu cha Vrije cha jijini Amsterdam.
Hiyo ndio ya pili kwa wote wawili. Ndoa yao itasherehekewa mjini ted in Cape Town May 2016.
Jiunge...
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
Msanii Mwajuma Jimama afunga ndoa na Melela Mussa
Msanii wa Filamu na unenguaji Mwajuma Thabiti ‘Mwajuma Jimama’ akiwa katika pozi na mume wake Melela Mussa baada ya kufunga ndoa hivi karibuni Ilala Bungoni na kufuatia na sherehe kubwa bwana harusi ni mfanya biashara na Biharusi ni msanii wa kujitegemea.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1YvHkRKmHVpRcgr4wi0jUTTbS9M9ev52pTk7nZk3ELlGxG3OLYNX4kGQcWUfs-tmuuWuQQlzlgrlxNuyYFHUQPy/TINANARICHARD.jpg?width=650)
MAMA MZAZI WA BEYONCE, TINA AFUNGA NDOA YA PILI NA MSANII RICHARD LAWSON
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wUbYkNQKGTF1heMq00nNyAOSdGjQhXfJ6DTiTMCMV6nJKl99u62vrGjcr1fFnFBDu70Qtt6T0OYPPi2P7dNfivp/amini.jpg?width=650)
AMINI AANIKA SIRI NDOA YA FASTA, ABADILI JINA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TAwaEl4B-eI/VNc5jE1QaPI/AAAAAAAHCc0/0H0fIZXcqhc/s72-c/IMG20150207WA0022.jpg)
MSANII WA KUNDI LA KAOLE AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TAwaEl4B-eI/VNc5jE1QaPI/AAAAAAAHCc0/0H0fIZXcqhc/s1600/IMG20150207WA0022.jpg)
Taarifa za msiba huo zilitolewa jana na Watoto wa Marehemu kwa ndugu na majirani wa eneo hilo,huku tetesi zikienea kwamba wamefanya hivyo ili kukwepa aibu kwa majirani kutokana na nyumba aliyokuwa akiishi mama yao huyo kuwa ni chakavu,hivyo...
10 years ago
Vijimambo21 Oct
Yesaya Ambilikile YP msanii wa kundi la TKM afariki dunia
![](http://api.ning.com/files/NDILiAzzLEVj*hhv1NsbmNzz5dzbOf0IVJZXjl4cTv3fRyVPHjZTHRovEHd9nb192bnt4zQlKXtCWB1j5JTI9YUtphUtkrB1/6.jpg?width=650)
Msanii wa kundi la TMK Wanaume Family,Yesaya Ambilikile ‘ Y- P’(kulia kwenye picha) amefariki dunia usiku wa jana katika hospitali ya Temeke baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa kifua.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1wp8RDvDZg-3B5d8cu*v5KgvEw8JExj50NuRGX3VyRnBvT*AyF7TRAVTqO7XV6QxB3mBn85sN0jgqr-mbqBgit/Nasari2.jpg?width=534)
NASSARI AFUNGA NDOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVWfuPLmPpO769G1nApWatyd00ZK-S0TKiUCNrxuaH-MW616jkNAlRjIVbfH5QdqwLH8Sl2hYePEis*OAUdAaFur/pfunk.jpg?width=650)
P FUNK AFUNGA NDOA YA SIRI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WRH9ovbTZmBjiN6lZQ2DO3-STCmCaNVfb1dWveORsO4CwzpaG86JwYV4XMTbx59yvXgPQmR9aubfZEWtn2wpp9okOb-a7q7Z/IMG20140531WA0036.jpg?width=650)
MWAIKIMBA AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA