MKATABA WA MAZINGIRA STOCKHOM UMEONESHA MWANGA UDHIBITI WA KEMIKALI HATARISHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-GG6At0s6-U0/XrpfZSFiIUI/AAAAAAALp4I/bgK-KytL8vwNfAekFGSbZsKeN-CUSb9PgCLcBGAsYHQ/s72-c/misitu1.jpg)
Na Ismail Ngayonga,MAELEZO-DAR ES SALAAM
MAENDELEO ya nchi yetu kwa kiasi kikubwa yanategemea matumizi endelevu ya maliasili zilizopo nchini uwepo wake hizi ni muhimu kwa ajili ya mahitaji ya sasa na ya vizazi vijavyo.
Hata hivyo, Taarifa ya Tatu ya Hali ya Mazingira Nchini ya mwaka 2019 imebainisha kuwepo kwa shughuli za kiuchumi na kijamii zisizo endelevu ambazo zimeendelea kuchangia kwa kiasi kikubwa uharibifu wa mazingira nchini.
Uharibifu huo ni pamoja na uharibifu wa ardhi, ukataji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Mazingira hatarishi ya kupata ugonjwa sugu wa figo - (2)
10 years ago
GPLWIZARA YAENDESHA KONGAMANO LA WATOTO WA MAZINGIRA HATARISHI
10 years ago
Habarileo19 Feb
'Watoto bado wanakabiliwa na mazingira hatarishi’
TANZANIA bado inakabiliwa na tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ambapo kwa takwimu za hivi karibuni watoto waliotambuliwa kuishi katika mazingira hayo ni 897,913, wanaume wakiwa asilimia 53 na wasichana asilimia 47.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Watoto wanaoishi mazingira hatarishi wapewa ujuzi
HALMASHAURI zote nchini, zimetakiwa kuona umuhimu wa kutenga fedha katika bajeti zao ili kuweza kusomesha watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, pia wale ambao hawana malezi maalumu. Ushauri huo umetolewa juzi...
10 years ago
VijimamboKONGAMANO LA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI
5 years ago
MichuziWADAU WASAIDIE WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI
Brig. Jen. Mwangela ameyasema hayo wakati akishiriki uzinduzi wa Mradi mpya wa taasisi ya Save The Children ambapo mradi huo mpya utajikita katika kuongeza ushiriki wa wananchi katika michakato ya kisera na Kibajeti.
Amesema taasisi hiyo imekuwa ikisaidia watoto wanaoishi katika mazingira...
9 years ago
Michuzi11 Oct
Wananchi epukeni na nishati hatarishi kwa mazingira-Prof.Itika
10 years ago
GPLKONGAMANO LA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI KUFANYIKA FEBRUARY 2, 2015