Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKATABA WA MAZINGIRA STOCKHOM UMEONESHA MWANGA UDHIBITI WA KEMIKALI HATARISHI


Na Ismail Ngayonga,MAELEZO-DAR ES SALAAM
MAENDELEO ya nchi yetu kwa kiasi kikubwa yanategemea matumizi endelevu ya maliasili zilizopo nchini uwepo wake hizi ni muhimu kwa ajili ya mahitaji ya sasa na ya vizazi vijavyo.
Hata hivyo, Taarifa ya Tatu ya Hali ya Mazingira Nchini ya mwaka 2019 imebainisha  kuwepo kwa shughuli za kiuchumi na kijamii zisizo endelevu ambazo zimeendelea kuchangia kwa kiasi kikubwa uharibifu wa mazingira nchini.
Uharibifu huo ni pamoja na uharibifu wa ardhi, ukataji...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mazingira hatarishi ya kupata ugonjwa sugu wa figo - (2)

Yapo mambo mbalimbali ambayo hutokana na magonjwa kadhaa ambayo kimsingi yanaathiri figo yenyewe, lakini visababishi vikuu vya ugonjwa sugu wa figo ni kisukari na shinikizo la damu.

 

10 years ago

GPL

WIZARA YAENDESHA KONGAMANO LA WATOTO WA MAZINGIRA HATARISHI

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii , Dk. Seif Seleman Rashid, akizungumza jambo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais,  Gharib Bilal.…

 

10 years ago

Habarileo

'Watoto bado wanakabiliwa na mazingira hatarishi’

Makamu wa  Rais, Dk Mohammed Gharib BilalTANZANIA bado inakabiliwa na tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ambapo kwa takwimu za hivi karibuni watoto waliotambuliwa kuishi katika mazingira hayo ni 897,913, wanaume wakiwa asilimia 53 na wasichana asilimia 47.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto wanaoishi mazingira hatarishi wapewa ujuzi

HALMASHAURI zote nchini, zimetakiwa kuona umuhimu wa kutenga fedha katika bajeti zao ili kuweza kusomesha watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, pia wale ambao hawana malezi maalumu. Ushauri huo umetolewa juzi...

 

10 years ago

Vijimambo

KONGAMANO LA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI

Kaimu Kamishna Msaidizi Kitengo cha huduma kwa familia, watoto, malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Philbert Kawemama (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akifungua semina ya siku moja inayohusu watoto waishio katika mazingira hatarishi na kongamano la watoto hao litakalofanyika Februari 18 hadi 20 mwaka huu katika ukumbi wa Mwalimu J.K Nyerere Convention Centre. Kushoto ni Kaimu Kamishna Msaidizi Huduma kwa...

 

5 years ago

Michuzi

WADAU WASAIDIE WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela amewataka wadau kwa kushirikiana na serikali waendelee kutoa msaada kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kwani bado wengi hawajafikiwa.

Brig. Jen. Mwangela ameyasema hayo wakati akishiriki uzinduzi wa Mradi mpya wa taasisi ya Save The Children ambapo mradi huo mpya utajikita katika kuongeza ushiriki wa wananchi katika michakato ya kisera na Kibajeti.

Amesema taasisi hiyo imekuwa ikisaidia watoto wanaoishi katika mazingira...

 

9 years ago

Michuzi

Wananchi epukeni na nishati hatarishi kwa mazingira-Prof.Itika

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam.WATEAFITI, Watungasera, Wanasheria na makundi mengine ya wataalam wamehimizwa kufanya jitihada ya kweli kuwaepusha wananchi na matumizi ya nishati hatarishi kwa mazingira na badala yake watumie nishati endelevu.Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Profesa Josephat Itika,  alisema Watanzania maskini wanalazimika kutumia nishati hatarishi kwa mazingira na kupunguza kipato chao kwa sababu hawapati  nishati endelevu.“Watu wenye kipato kizuri ndiyo kwa kiasi...

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI KUFANYIKA FEBRUARY 2, 2015

 Kaimu Kamishna Msaidizi Kitengo cha huduma kwa familia, watoto, malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Philbert Kawemama (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akifungua semina ya siku moja inayohusu watoto waishio katika mazingira hatarishi na kongamano la watoto hao litakalofanyika Februari 18 hadi 20 mwaka huu katika ukumbi wa Mwalimu J.K...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani