Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wanaoishi mazingira hatarishi wapewa ujuzi

HALMASHAURI zote nchini, zimetakiwa kuona umuhimu wa kutenga fedha katika bajeti zao ili kuweza kusomesha watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, pia wale ambao hawana malezi maalumu. Ushauri huo umetolewa juzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KONGAMANO LA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI

Kaimu Kamishna Msaidizi Kitengo cha huduma kwa familia, watoto, malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Philbert Kawemama (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akifungua semina ya siku moja inayohusu watoto waishio katika mazingira hatarishi na kongamano la watoto hao litakalofanyika Februari 18 hadi 20 mwaka huu katika ukumbi wa Mwalimu J.K Nyerere Convention Centre. Kushoto ni Kaimu Kamishna Msaidizi Huduma kwa...

 

5 years ago

Michuzi

WADAU WASAIDIE WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela amewataka wadau kwa kushirikiana na serikali waendelee kutoa msaada kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kwani bado wengi hawajafikiwa.

Brig. Jen. Mwangela ameyasema hayo wakati akishiriki uzinduzi wa Mradi mpya wa taasisi ya Save The Children ambapo mradi huo mpya utajikita katika kuongeza ushiriki wa wananchi katika michakato ya kisera na Kibajeti.

Amesema taasisi hiyo imekuwa ikisaidia watoto wanaoishi katika mazingira...

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI KUFANYIKA FEBRUARY 2, 2015

 Kaimu Kamishna Msaidizi Kitengo cha huduma kwa familia, watoto, malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Philbert Kawemama (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akifungua semina ya siku moja inayohusu watoto waishio katika mazingira hatarishi na kongamano la watoto hao litakalofanyika Februari 18 hadi 20 mwaka huu katika ukumbi wa Mwalimu J.K...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kongamano la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kufanyika tarehe 18-20, February , 2015 jijini Dar

Kaimu Kamishna Msaidizi Kitengo cha huduma kwa familia, watoto, malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Philbert Kawemama (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akifungua semina ya siku moja inayohusu watoto waishio katika mazingira hatarishi na kongamano la watoto hao litakalofanyika Februari 18 hadi 20 mwaka huu katika ukumbi wa Mwalimu J.K  Nyerere Convention Centre. Kushoto ni Kaimu Kamishna Msaidizi Huduma kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Daniela Schadt aipongeza WAMA kwa kazi wanayoifanya ya kuwasomesha watoto wa kike ambao ni yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi

img_0858

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda – Maelezo

Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imepongezwa kwa kazi inayoifanya ya kuhakikisha  watoto wa kike ambao ni yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi wanapata elimu sawa na watoto wengine.

Pongezi hizo zimetolewa leo na Mke wa Rais wa Shirikisho la Ujerumani Mama Daniela Schadt wakati akiongea na wafanyakazi wa  WAMA alipozitembelea ofisi za Taasisi hizo zilizopo jijini Dar es Salaam.

Mama Schadt ambaye ni Mke  wa Rais...

 

10 years ago

Habarileo

'Watoto bado wanakabiliwa na mazingira hatarishi’

Makamu wa  Rais, Dk Mohammed Gharib BilalTANZANIA bado inakabiliwa na tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ambapo kwa takwimu za hivi karibuni watoto waliotambuliwa kuishi katika mazingira hayo ni 897,913, wanaume wakiwa asilimia 53 na wasichana asilimia 47.

 

10 years ago

GPL

WIZARA YAENDESHA KONGAMANO LA WATOTO WA MAZINGIRA HATARISHI

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii , Dk. Seif Seleman Rashid, akizungumza jambo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais,  Gharib Bilal.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto wanaoishi mazingira magumu hawakupata chanjo ya Surua-Ribella

WAKATI kampeni ya chanjo ya Surua-Rubella kwa watoto wenye kuanzia umri wa miezi tisa hadi miaka 15, ilikamilika wiki iliyopita, kuna wasiwasi kuwa makundi ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani