'Watoto bado wanakabiliwa na mazingira hatarishi’
TANZANIA bado inakabiliwa na tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ambapo kwa takwimu za hivi karibuni watoto waliotambuliwa kuishi katika mazingira hayo ni 897,913, wanaume wakiwa asilimia 53 na wasichana asilimia 47.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania