Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazingira hatarishi ya kupata ugonjwa sugu wa figo - (2)

Yapo mambo mbalimbali ambayo hutokana na magonjwa kadhaa ambayo kimsingi yanaathiri figo yenyewe, lakini visababishi vikuu vya ugonjwa sugu wa figo ni kisukari na shinikizo la damu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Ufahamu juu ya ugonjwa sugu wa Figo

Dr Kavita swahili

Apollo Kidney article for Mwananchi Swahil 2 12 Mar 15 Final.doc by moblog

 

11 years ago

KwanzaJamii

Ujue ugonjwa wa figo

Magonjwa ya figo Figo hufanya kazi muhimu mwilini ambazo ni:- • Kudhibiti na kuhifadhi virutubishi na maji na kuondoa mabaki kupitia mkojo. • Kuchuja damu ili kuondoa mabaki ambayo ni sumu mwilini. Baadhi ya mabaki hayo ni urea, uric acid, creatinine na ammonia. • Kudhibiti viwango vya electrolyte mwilini, yaani Sodium (Na+ ) na Potassium (K+). Sodium husaidia kudhibiti wingi wa maji mwilini na pia huwezesha mawasiliano kati ya mfumo wa fahamu na misuli (enhances commucacation between...

 

10 years ago

GPL

NEFRON, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO

Madhara ya ugonjwa wa kisukari katika mwili wa binadamu ni mengi  na mojawapo ni ugonjwa wa figo unaotokana na mhusika kuwa na tatizo hilo. Leo tuangazie tatizo la figo (kidney) ambayo ina mamia kwa maelfu ya vijiumbo vidogovidogo viitwavyo nefroni (nephrons). Kazi ya hizi nefroni ni kuchuja damu na kutoa uchafu mwilini kwa njia ya mkojo kupitia mirija ya ureter inayotoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu. Kwa watu wenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mkweli: Ugonjwa wa figo unatibika

MABADILIKO ya tabia nchi na kukithiri kwa matumizi ya vyakula vinavyozalishwa kwenye viwanda mbalimbali ndani na nje ya nchi, kumechangia kwa kiasi kikubwa kuibuka kwa magonjwa mbalimbali ya binadamu na...

 

11 years ago

Mwananchi

Figo; ugonjwa uliomuua Dk Mgimwa

>Baada ya siri ya ugonjwa uliosababisha kifo cha aliyekuwa Waziri wa fedha, Dk William Mgimwa ikidumu kwa siku kadhaa, baadaye Serikali ilisema kilichosababisha  kifo chake ni ugonjwa wa figo.

 

10 years ago

GPL

NEFRONI, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO-2

Dalili hizo ni kukosa hamu ya kula, kujihisi uchovu na kwa ujumla kutojihisi vizuri hasa kuumwa kichwa, kichefuchefu, kutapika na kuvimba miguu. Kwa watu wenye kisukari, wanashauriwa kufanya uchunguzi wa figo zao mara moja kwa mwaka ambapo watachunguzwa kama wana dalili zozote zinazoashiria matatizo ya figo. Utapimwa mkojo kwa ajili ya kuchunguza kiwango cha protini iitwayo Albumin au Microalbuminuria. ...Soma...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto wanaoishi mazingira hatarishi wapewa ujuzi

HALMASHAURI zote nchini, zimetakiwa kuona umuhimu wa kutenga fedha katika bajeti zao ili kuweza kusomesha watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, pia wale ambao hawana malezi maalumu. Ushauri huo umetolewa juzi...

 

10 years ago

Vijimambo

KONGAMANO LA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI

Kaimu Kamishna Msaidizi Kitengo cha huduma kwa familia, watoto, malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Philbert Kawemama (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akifungua semina ya siku moja inayohusu watoto waishio katika mazingira hatarishi na kongamano la watoto hao litakalofanyika Februari 18 hadi 20 mwaka huu katika ukumbi wa Mwalimu J.K Nyerere Convention Centre. Kushoto ni Kaimu Kamishna Msaidizi Huduma kwa...

 

10 years ago

GPL

WIZARA YAENDESHA KONGAMANO LA WATOTO WA MAZINGIRA HATARISHI

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii , Dk. Seif Seleman Rashid, akizungumza jambo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais,  Gharib Bilal.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani