Dk. Mkweli: Ugonjwa wa figo unatibika
MABADILIKO ya tabia nchi na kukithiri kwa matumizi ya vyakula vinavyozalishwa kwenye viwanda mbalimbali ndani na nje ya nchi, kumechangia kwa kiasi kikubwa kuibuka kwa magonjwa mbalimbali ya binadamu na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Ujue ugonjwa wa figo
Magonjwa ya figo
Figo hufanya kazi muhimu mwilini ambazo ni:-
• Kudhibiti na kuhifadhi virutubishi na maji na kuondoa mabaki kupitia mkojo.
• Kuchuja damu ili kuondoa mabaki ambayo ni sumu mwilini. Baadhi ya mabaki hayo ni urea, uric acid, creatinine na ammonia.
• Kudhibiti viwango vya electrolyte mwilini, yaani Sodium (Na+ ) na Potassium (K+). Sodium husaidia kudhibiti wingi wa maji mwilini na pia huwezesha mawasiliano kati ya mfumo wa fahamu na misuli (enhances commucacation between...
10 years ago
GPLNEFRONI, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO-2
Dalili hizo ni kukosa hamu ya kula, kujihisi uchovu na kwa ujumla kutojihisi vizuri hasa kuumwa kichwa, kichefuchefu, kutapika na kuvimba miguu. Kwa watu wenye kisukari, wanashauriwa kufanya uchunguzi wa figo zao mara moja kwa mwaka ambapo watachunguzwa kama wana dalili zozote zinazoashiria matatizo ya figo. Utapimwa mkojo kwa ajili ya kuchunguza kiwango cha protini iitwayo Albumin au Microalbuminuria. ...Soma...
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Figo; ugonjwa uliomuua Dk Mgimwa
>Baada ya siri ya ugonjwa uliosababisha kifo cha aliyekuwa Waziri wa fedha, Dk William Mgimwa ikidumu kwa siku kadhaa, baadaye Serikali ilisema kilichosababisha kifo chake ni ugonjwa wa figo.
10 years ago
GPLNEFRON, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO
Madhara ya ugonjwa wa kisukari katika mwili wa binadamu ni mengi na mojawapo ni ugonjwa wa figo unaotokana na mhusika kuwa na tatizo hilo. Leo tuangazie tatizo la figo (kidney) ambayo ina mamia kwa maelfu ya vijiumbo vidogovidogo viitwavyo nefroni (nephrons). Kazi ya hizi nefroni ni kuchuja damu na kutoa uchafu mwilini kwa njia ya mkojo kupitia mirija ya ureter inayotoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu. Kwa watu wenye...
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
Ufahamu juu ya ugonjwa sugu wa Figo
Apollo Kidney article for Mwananchi Swahil 2 12 Mar 15 Final.doc by moblog
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Mazingira hatarishi ya kupata ugonjwa sugu wa figo - (2)
Yapo mambo mbalimbali ambayo hutokana na magonjwa kadhaa ambayo kimsingi yanaathiri figo yenyewe, lakini visababishi vikuu vya ugonjwa sugu wa figo ni kisukari na shinikizo la damu.
10 years ago
GPLMASKINI! UGONJWA WA FIGO UNAVYOMTESA MTOTO HUYU!
Stori:Â Â Imelda Mtema
Mtoto Careen Mpombo (4) (pichani), mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, yuko katika mateso makali kufuatia kusumbuliwa na figo moja ambayo haifanyi kazi. Mtoto Careen anayesumbuliwa na figo moja ambayo haifanyi kazi. Licha ya kuugua figo, mtoto huyo pia ana ugonjwa wa mafindofindo (Tonsillitis) unaomfanya akose raha kutokana kuwa na maumivu makali yanayosababisha ashindwe kula.
...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania