Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufahamu juu ya ugonjwa sugu wa Figo

Dr Kavita swahili

Apollo Kidney article for Mwananchi Swahil 2 12 Mar 15 Final.doc by moblog

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mazingira hatarishi ya kupata ugonjwa sugu wa figo - (2)

Yapo mambo mbalimbali ambayo hutokana na magonjwa kadhaa ambayo kimsingi yanaathiri figo yenyewe, lakini visababishi vikuu vya ugonjwa sugu wa figo ni kisukari na shinikizo la damu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ufahamu ugonjwa wa pumu na jinsi watu wengi walivyo hatarini

Mtu mwenye pumu huwa na mcharuko uvimbe sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitishia hewa (bronchioles tubes) hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija hii na kuwa na ute mzito hivyo kupungua kwa njia ya kupitishia hewa.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Ujue ugonjwa wa figo

Magonjwa ya figo Figo hufanya kazi muhimu mwilini ambazo ni:- • Kudhibiti na kuhifadhi virutubishi na maji na kuondoa mabaki kupitia mkojo. • Kuchuja damu ili kuondoa mabaki ambayo ni sumu mwilini. Baadhi ya mabaki hayo ni urea, uric acid, creatinine na ammonia. • Kudhibiti viwango vya electrolyte mwilini, yaani Sodium (Na+ ) na Potassium (K+). Sodium husaidia kudhibiti wingi wa maji mwilini na pia huwezesha mawasiliano kati ya mfumo wa fahamu na misuli (enhances commucacation between...

 

11 years ago

Mwananchi

Figo; ugonjwa uliomuua Dk Mgimwa

>Baada ya siri ya ugonjwa uliosababisha kifo cha aliyekuwa Waziri wa fedha, Dk William Mgimwa ikidumu kwa siku kadhaa, baadaye Serikali ilisema kilichosababisha  kifo chake ni ugonjwa wa figo.

 

10 years ago

GPL

NEFRONI, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO-2

Dalili hizo ni kukosa hamu ya kula, kujihisi uchovu na kwa ujumla kutojihisi vizuri hasa kuumwa kichwa, kichefuchefu, kutapika na kuvimba miguu. Kwa watu wenye kisukari, wanashauriwa kufanya uchunguzi wa figo zao mara moja kwa mwaka ambapo watachunguzwa kama wana dalili zozote zinazoashiria matatizo ya figo. Utapimwa mkojo kwa ajili ya kuchunguza kiwango cha protini iitwayo Albumin au Microalbuminuria. ...Soma...

 

10 years ago

GPL

NEFRON, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO

Madhara ya ugonjwa wa kisukari katika mwili wa binadamu ni mengi  na mojawapo ni ugonjwa wa figo unaotokana na mhusika kuwa na tatizo hilo. Leo tuangazie tatizo la figo (kidney) ambayo ina mamia kwa maelfu ya vijiumbo vidogovidogo viitwavyo nefroni (nephrons). Kazi ya hizi nefroni ni kuchuja damu na kutoa uchafu mwilini kwa njia ya mkojo kupitia mirija ya ureter inayotoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu. Kwa watu wenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mkweli: Ugonjwa wa figo unatibika

MABADILIKO ya tabia nchi na kukithiri kwa matumizi ya vyakula vinavyozalishwa kwenye viwanda mbalimbali ndani na nje ya nchi, kumechangia kwa kiasi kikubwa kuibuka kwa magonjwa mbalimbali ya binadamu na...

 

10 years ago

GPL

MASKINI! UGONJWA WA FIGO UNAVYOMTESA MTOTO HUYU!

Stori:   Imelda Mtema
Mtoto Careen Mpombo (4) (pichani), mkazi wa  Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, yuko katika mateso makali kufuatia kusumbuliwa na figo moja ambayo haifanyi kazi. Mtoto Careen anayesumbuliwa na figo moja ambayo haifanyi kazi. Licha ya kuugua figo, mtoto huyo pia ana ugonjwa wa mafindofindo (Tonsillitis) unaomfanya akose raha kutokana kuwa na maumivu makali yanayosababisha ashindwe kula.
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani