ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI
Na. Saidina Msangi na Peter Haule, WFM, Dodoma
SERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa Serikali kuhusu ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogDK.KIJAJI: ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI
10 years ago
Vijimambo28 Jan
JIJI LA WATU WASIO LALA NEW YORK LIKIWA HALINA WATU BARABARANI WAKATI TUFANI ILIPOANZA KUANGUKA
![](https://lh4.googleusercontent.com/-RKmObP6j5AM/VMd_9vjyxVI/AAAAAAABWZw/skU7PlaE0GI/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BRadio%2BCity%2B.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-9X71XUVzyE8/VMeAQP6EJuI/AAAAAAABWao/ZToDUvbsIrw/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BMadison%2BAvenue%2BEmpt.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-_yrQZt0bc0E/VMeANC-JxWI/AAAAAAABWag/U8LVWdMG9FQ/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B5th%2BAvenue%2B-%2BTemple%2BEmanu-el%2B.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-9c-OA0OwmqY/VMeAMLQOP4I/AAAAAAABWaY/X1i53HDt8f0/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B6th%2BAvenue%2B.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-wjRDShw-AtE/VMcJjprS3CI/AAAAAAAACYU/MTFUEZbIvwM/w1185-h889-no/new-york-city-snowstorm-epic-january-2015.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-XU0bAaEIqC8/VMeAKjJz30I/AAAAAAABWaQ/eGEF4hX-IH4/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2BMadison%2BAvenue%2B%281%2Bof%2B1%29-2.jpg)
![](https://lh4.googleusercontent.com/-jFqBacQk5Vs/VMeAJTUHRII/AAAAAAABWaI/Vny21e5wSZI/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B5th%2BAvenue%2B-%2BBergdorf%2B.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-GM8wYz4Onic/VMeADMkWtAI/AAAAAAABWaA/gg72pf0QSZ4/w1277-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BNear%2BTimes%2BSquare.jpg)
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Athari za kiuchumi zaanza kuonekana
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Ongezeko la ajali za barabarani, madhara yake kiuchumi na haki ya kudai fidia
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Coronavirus: Athari za kiuchumi za mashirika ya ndege Afrika
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KKTQGErznro/Xm99qwNZpdI/AAAAAAAC8h4/NtqSLOycO48kwOb0jMeP7yR9dsRh_6vDwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DKT. MPANGO ATAHADHARISHA WAFANYAKAZI KUJIKINGA NA CORONA NA KUTAKA IFANYIKE TATHIMINI YA ATHARI ZA UGONJWA HUO KIUCHUMI
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, amewaagiza Wataalamu wa Wizara hiyo kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuangalia madhara ya Corona yanayoweza kujitokeza katika uchumi wa nchi pamoja na namna ya kukabiliana nayo.
Agizo hilo amelitoa jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na watumishi wa Wizara hiyo kuhusu umuhimu wa kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa hatari wa COVID-19.
“Nilikuwa naangalia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vFrhOHBMvXE/Xtj2JPPH9dI/AAAAAAALsoY/9MX4lQk1ONIMjPoJ_uhDDF3vd_iLtZPtwCLcBGAsYHQ/s72-c/b52d1324-d326-4b35-bd3b-4a7d82bc1cc0.jpg)
UVUTAJI WA TUMBAKU UNA ATHARI KIUCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA ANAYETUMIA
Na WAMJW-Dodoma
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata magonjwa yasiyoambukizwa kama tahadhari hazitachukuliwa mapema.
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa matumizi ya tumbaku kwa watu wazima wa mwaka 2018 nchini uliofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Takwimu jijini Dodoma.
Waziri Ummy amesema utafiti huo umeonesha...
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je mataifa ya Afrika yanakabiliana vipi na athari za kiuchumi za Corona?
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Ongezeko la watu linaharibu mazingira Kinapa
ONGEZEKO la watu kuzunguka Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa), limeathiri mazingira na kutishia kutoweka kwa msitu wa nusu maili. Hayo yamo kwenye taarifa ya Mhifadhi wa Kinapa, Erastus...