Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Athari za kiuchumi za mashirika ya ndege Afrika

IATA imesema madhara ya kiuchumi yanakuwa mabaya zaidi kwa mashirika ya ndege ya Afrika ambapo mwaka jana yalipata hasara ya pauni milioni 78.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Athari za kiuchumi zaanza kuonekana

Huku biashara ikiwa imeathirika na wengi wakihofia afya zao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je mataifa ya Afrika yanakabiliana vipi na athari za kiuchumi za Corona?

Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo ametangaza kuwa serikali yake italipia garama ya maji kwa kipindi cha miezi mitatu ijayo ikiwa ni jitihada za kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa corona.

 

9 years ago

Michuzi

WATENDAJI WA MASHIRIKA YA NDEGE WATAKA BARABARA YA KUELEKEA UWANJA WA NDEGE IPANULIWE

Watendaji wa mashirika ya ndege nchini wameiomba Serikali kupanua Barabara ya Nyerere ili kuwawezesha abiria wanaosafiri kwa ndege kuwahi usafiri kufuatia ongezeko lao kubwa na la ndege pia linalotarajiwa  kufuatia kuwepo kwa jengo jipya la abiria (TB III) linalotarajiwa kukamilika mwaka 2016.
Rai hiyo imetolewa jana na watendaji wa mashirika 19 ya ndege yanayoendesha shughuli zake katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) walipozuru ujenzi TB III ikiwa  ni moja ya...

 

5 years ago

Michuzi

ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI

Na. Saidina Msangi na Peter Haule, WFM, Dodoma
SERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.

Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa Serikali kuhusu ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na...

 

5 years ago

CCM Blog

DK.KIJAJI: ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb)a. Saidina Msangi na Peter Haule, WFM, DodomaSERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mashirika ya ndege yagomea viwanja

MASHIRIKA ya ndege nchini, yamedaiwa kukataa kutumia viwanja vidogo vya ndege katika baadhi ya mikoa, kwa sababu ya hofu ya kutofanya biashara na miundombinu mibovu, hivyo kuvifanya viwanja hivyo kutotumika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya mashirika ya ndege

Marekani imeonya mashirika ya ndege yanayoelekea Russia kuwa kunauwezekano wa magaidi kusafirisha vilupuzi kwa niya ya kuishambulia Sochi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashirika ya ndege kushtakiwa Uingereza

Wahudumu wa ndege wanapanga kuyashtaki mashirika ya ndege ya Uingereza kwa kuathiriwa na hewa chafu ndani ya vyumba vya ndege.

 

5 years ago

Michuzi

DKT. MPANGO ATAHADHARISHA WAFANYAKAZI KUJIKINGA NA CORONA NA KUTAKA IFANYIKE TATHIMINI YA ATHARI ZA UGONJWA HUO KIUCHUMI

Na. Farida Ramadhani na Saidina Msangi, WFM, Dodoma
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, amewaagiza Wataalamu wa Wizara hiyo kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuangalia madhara ya Corona yanayoweza kujitokeza katika uchumi wa nchi pamoja na namna ya kukabiliana nayo.
Agizo hilo amelitoa jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na watumishi wa Wizara hiyo kuhusu umuhimu wa kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa hatari wa COVID-19.
“Nilikuwa naangalia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani