Coronavirus: Athari za kiuchumi zaanza kuonekana
Huku biashara ikiwa imeathirika na wengi wakihofia afya zao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Coronavirus: Athari za kiuchumi za mashirika ya ndege Afrika
IATA imesema madhara ya kiuchumi yanakuwa mabaya zaidi kwa mashirika ya ndege ya Afrika ambapo mwaka jana yalipata hasara ya pauni milioni 78.
5 years ago
MichuziONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI
Na. Saidina Msangi na Peter Haule, WFM, Dodoma
SERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa Serikali kuhusu ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na...
SERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa Serikali kuhusu ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na...
5 years ago
CCM BlogDK.KIJAJI: ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KKTQGErznro/Xm99qwNZpdI/AAAAAAAC8h4/NtqSLOycO48kwOb0jMeP7yR9dsRh_6vDwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DKT. MPANGO ATAHADHARISHA WAFANYAKAZI KUJIKINGA NA CORONA NA KUTAKA IFANYIKE TATHIMINI YA ATHARI ZA UGONJWA HUO KIUCHUMI
Na. Farida Ramadhani na Saidina Msangi, WFM, Dodoma
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, amewaagiza Wataalamu wa Wizara hiyo kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuangalia madhara ya Corona yanayoweza kujitokeza katika uchumi wa nchi pamoja na namna ya kukabiliana nayo.
Agizo hilo amelitoa jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na watumishi wa Wizara hiyo kuhusu umuhimu wa kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa hatari wa COVID-19.
“Nilikuwa naangalia...
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, amewaagiza Wataalamu wa Wizara hiyo kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuangalia madhara ya Corona yanayoweza kujitokeza katika uchumi wa nchi pamoja na namna ya kukabiliana nayo.
Agizo hilo amelitoa jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na watumishi wa Wizara hiyo kuhusu umuhimu wa kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa hatari wa COVID-19.
“Nilikuwa naangalia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vFrhOHBMvXE/Xtj2JPPH9dI/AAAAAAALsoY/9MX4lQk1ONIMjPoJ_uhDDF3vd_iLtZPtwCLcBGAsYHQ/s72-c/b52d1324-d326-4b35-bd3b-4a7d82bc1cc0.jpg)
UVUTAJI WA TUMBAKU UNA ATHARI KIUCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA ANAYETUMIA
Na WAMJW-Dodoma
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata magonjwa yasiyoambukizwa kama tahadhari hazitachukuliwa mapema.
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa matumizi ya tumbaku kwa watu wazima wa mwaka 2018 nchini uliofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Takwimu jijini Dodoma.
Waziri Ummy amesema utafiti huo umeonesha...
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je mataifa ya Afrika yanakabiliana vipi na athari za kiuchumi za Corona?
Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo ametangaza kuwa serikali yake italipia garama ya maji kwa kipindi cha miezi mitatu ijayo ikiwa ni jitihada za kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa corona.
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Athari ya ugonjwa huu katika Soka ya Ulaya
Virusi vya Corona vyaendelea kuzua hofu na kuonekana wazi kwamba dunia ipo katika nyakati ngumu. Je athari yake kwa Soka ya Ulaya ni ipi?
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Kuonekana kwa mwezi mkubwa
Watu maeneo mbalimbali duniani wameutazama mwezi mkubwa usio wa kawaida, ambao utaonekana tena 2033. Hivi ndivyo ulivyoonekana.
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Ni muhimu haki kuonekana ikitendeka
Kamati Ndogo ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema kuwa ilimaliza kazi yake ilipotoa ripoti kuhusu Operesheni Tokomeza Ujangili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania