DKT. MPANGO ATAHADHARISHA WAFANYAKAZI KUJIKINGA NA CORONA NA KUTAKA IFANYIKE TATHIMINI YA ATHARI ZA UGONJWA HUO KIUCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KKTQGErznro/Xm99qwNZpdI/AAAAAAAC8h4/NtqSLOycO48kwOb0jMeP7yR9dsRh_6vDwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na. Farida Ramadhani na Saidina Msangi, WFM, Dodoma
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, amewaagiza Wataalamu wa Wizara hiyo kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuangalia madhara ya Corona yanayoweza kujitokeza katika uchumi wa nchi pamoja na namna ya kukabiliana nayo.
Agizo hilo amelitoa jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na watumishi wa Wizara hiyo kuhusu umuhimu wa kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa hatari wa COVID-19.
“Nilikuwa naangalia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200322_125827_308.jpg)
DODOMA, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je mataifa ya Afrika yanakabiliana vipi na athari za kiuchumi za Corona?
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya corona: Ibuprofen yafanyiwa majaribio kutibu ugonjwa huo
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya Corona: Obama asema uongozi wa Trump umefeli kukabiliana na ugonjwa huo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xzv1srXyK3g/Xon6SJ460HI/AAAAAAALmFE/9m0UtaKWCAw3KJyfbjhoFc1oUu3WDeWmQCLcBGAsYHQ/s72-c/9c069937-d26c-49e9-91b6-bfe6fbb2247f.jpg)
PICHA MBALIMBALI ZIKIMUONESHA WAZIRI SIMBACHAWENE AKINAWA MIKONO KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xzv1srXyK3g/Xon6SJ460HI/AAAAAAALmFE/9m0UtaKWCAw3KJyfbjhoFc1oUu3WDeWmQCLcBGAsYHQ/s640/9c069937-d26c-49e9-91b6-bfe6fbb2247f.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kG7H1-2123E/Xm-OYzIlaKI/AAAAAAAC8oQ/PpCSiEfRJo0wYTj0SbjBCisTruZIgo2jACLcBGAsYHQ/s72-c/d.jpg)
5 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9AZe3MQUqB8/XmekAT1g6vI/AAAAAAALidc/sM5Y5vLB5foQsn4W5U33YzRWPs0Mdc3RQCLcBGAsYHQ/s72-c/b92722be-1e86-43e3-a068-61abe5ad5369.jpg)
WAPENI ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA WANANCHI-DKT.CHAULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9AZe3MQUqB8/XmekAT1g6vI/AAAAAAALidc/sM5Y5vLB5foQsn4W5U33YzRWPs0Mdc3RQCLcBGAsYHQ/s640/b92722be-1e86-43e3-a068-61abe5ad5369.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na waganga wakuu wa mikoa(hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kujadili utayari wa kukabiliana na tishio la mlipuko wa virus vya corona kwenye ukumbi wa mkutano wa hospitali ya taifa muhimbili-mloganzila
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/f20de537-5f8c-41e4-bfd4-7af3fc7841ae.jpg)
Baadhi wa waganga wakuu wa mikoa na maofisa kutoka wizara ya afya walioshiriki mkutano wa kujadili tishio la ugonjwa wa Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/7d025d66-c4a5-450c-9891-ceb0cc0b5666.jpg)
Naibu Mkuu anayeshughulikia afya kutoka Ofisi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s72-c/CSR%2BSingida.png)
BENKI YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO MKOA WA SINGIDA KUJIKINGA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s640/CSR%2BSingida.png)