Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DKT. MPANGO ATAHADHARISHA WAFANYAKAZI KUJIKINGA NA CORONA NA KUTAKA IFANYIKE TATHIMINI YA ATHARI ZA UGONJWA HUO KIUCHUMI

Na. Farida Ramadhani na Saidina Msangi, WFM, Dodoma
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, amewaagiza Wataalamu wa Wizara hiyo kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuangalia madhara ya Corona yanayoweza kujitokeza katika uchumi wa nchi pamoja na namna ya kukabiliana nayo.
Agizo hilo amelitoa jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na watumishi wa Wizara hiyo kuhusu umuhimu wa kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa hatari wa COVID-19.
“Nilikuwa naangalia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO

Rais Dk. John Magufuli akitoa salam katika Ibada ya Jumapili, iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu la  Kanisa Katoliki la Dodoma. jijini Dodoma, leo.




DODOMA, Tanzania
Rais  Dk. John  Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je mataifa ya Afrika yanakabiliana vipi na athari za kiuchumi za Corona?

Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo ametangaza kuwa serikali yake italipia garama ya maji kwa kipindi cha miezi mitatu ijayo ikiwa ni jitihada za kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ibuprofen yafanyiwa majaribio kutibu ugonjwa huo

Wanasayansi wanafanya majaribio kuona iwapo dawa ya maumivu ya Ibruprofen inaweza kutumika katika hospitali kuwasaidia wagonjwa wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Obama asema uongozi wa Trump umefeli kukabiliana na ugonjwa huo

Aliyekuwa rais wa Marekani Barrack Obama kwa mara nyingine tena amemkosoa mrithi wake Donald Trump anavyoshughulikia janga la virusi vya corona

 

5 years ago

Michuzi

PICHA MBALIMBALI ZIKIMUONESHA WAZIRI SIMBACHAWENE AKINAWA MIKONO KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA



 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akinawa mikono kwa maji maalumu yaliyowekwa dawa   alipotembelea Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Mpwapwa,mkoani Dodoma ikiwa ni kufuata maelekezo yaliyotolewa na wataalamu wa afya katika kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Covid-19.Picha na Wizara ya Mambo ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI

 Dkt. Grarvin Kweka wa Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili akionesha namna ya kutumia vitakasa mikono kwa wafanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) juu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona (Covid 19) wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na kufanyika katika ofisi za Bodi hiyo Jijini Dar es Salaam.
Dkt. Grarvin Kweka wa Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili akitoa mada ya namna ya kujikinga na virusi vya Corona kwa  wafanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) juu ya kujikinga na...

 

5 years ago

Michuzi

WAPENI ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA WANANCHI-DKT.CHAULA


Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na waganga wakuu wa mikoa(hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kujadili utayari wa kukabiliana na tishio la mlipuko wa virus vya corona kwenye ukumbi wa mkutano wa hospitali ya taifa muhimbili-mloganzila
Baadhi wa waganga wakuu wa mikoa na maofisa kutoka wizara ya afya walioshiriki mkutano wa kujadili tishio la ugonjwa wa Corona.
Naibu Mkuu anayeshughulikia afya kutoka Ofisi ya...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO MKOA WA SINGIDA KUJIKINGA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA

Meneja wa NMB Kanda Kati, Nsolo Mlozi (wapili kushoto) pamoja na Meneja wa NMB Tawi wa Singida - Willy Mponzi (kushoto), wamekabidhi Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi (kulia) msaada wa vifaa vya kunawa mikono ili kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya corona, kwa ajili ya kugawa kwenye taasisi mkoani hamo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani