Ongezeko la ajali za barabarani, madhara yake kiuchumi na haki ya kudai fidia
Ajali za barabarani zimekuwa ni janga kubwa kwa taifa letu. Ajali hizi kwa muda wa hivi karibuni zimeongezeka sana na kusababisha watu kufariki dunia, kupotelewa mali, kupata majeraha, kupata ulemavu wa kudumu na watu wengi wamejikuta maskini kwa sababu ya ajali za barabarani. Wengine wanafia njiani wakihangaika kupata haki zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Sep
Wataka marekebisho ya sheria kuwapa haki abiria wa mabasi kudai fidia
SERIKALI imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria za usalama barabarani ziwezeshe kutoa haki kwa mtumiaji wa mabasi anapopata ajali, alipwe bima kama ilivyo kwa watumiaji wa ndege na meli.
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Wakulima Bariadi sasa kudai fidia
SAKATA la mbegu za pamba zilizogoma kuota limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wakulima wa zao hilo wilayani Bariadi, Simiyu kuanza kukusanya saini zao ili waweze kuwasilisha madai ya...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mwekezaji aliyepokwa ardhi kudai fidia
BAADA ya Halmashauri ya wilaya ya Kilosa kuligawa eneo la mwekezaji Mees Estate Ltd kwa wanakijiji cha Mbigili, Kitongoji cha Mateteni kwa madai kuwa imefutiwa umiliki, uongozi wa mwekezaji huyo...
5 years ago
MichuziONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI
SERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa Serikali kuhusu ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na...
5 years ago
CCM BlogDK.KIJAJI: ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
CCM kina haki gani kudai chama makini?
UKIENDA sehemu inayouzwa pombe hukosi kusikia majisifu (maneno anayosema mtu kujitukuza kwa nia ya kujionesha kuwa bora) ya walevi. Wengine hugawa vinywaji, kuku na nyama za kuokwa lakini maisha ya...
11 years ago
MichuziWafanyakazi Ruvuma watakiwa kutimiza wajibu na kisha kudai haki
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi kusimamia Haki ya Fidia kwa wafanyakazi
![](http://1.bp.blogspot.com/-oIQT1unmzzo/VdBzkYWQpFI/AAAAAAAAXv8/Qe-eB9mYhWo/s640/B3.jpg)
MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, WCF, Masha Mshomba, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari makao makuu ya Mfuko huo barabara ya Bagamoyyo jijini Dar es Salaam, Agosti 16, 2015. Mfuko huo ulioanzishwa kwa sheria ya bunge namba 20 kifungu cha 5 ya mwaka 2008, una madhumuni ya kutoa fidia kwa Wafanyakazi kutokana na ulemavu au vifo viinavyosababishwa na ajali au magonjwa yatokanayo na kazi sambamba na kukuza mbinu za kuzuia matukio ya ajali, alisema. (Picha na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AfL-Suqlxac/U1bcQ7MRKtI/AAAAAAAFcZw/xVIXEcJMyV4/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Ongezeko la gesi joto ni kutoitendea haki dunia:Muyungi
![](http://4.bp.blogspot.com/-AfL-Suqlxac/U1bcQ7MRKtI/AAAAAAAFcZw/xVIXEcJMyV4/s1600/unnamed+(22).jpg)
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii Muyungi aliyebobea katika masuala ya mabadiliko ya tabia nchi anasema ujenzi wa miji na vijiji usioongeza joto...