Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwekezaji aliyepokwa ardhi kudai fidia

BAADA ya Halmashauri ya wilaya ya Kilosa kuligawa eneo la mwekezaji Mees Estate Ltd kwa wanakijiji cha Mbigili, Kitongoji cha Mateteni kwa madai kuwa imefutiwa umiliki, uongozi wa mwekezaji huyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Bariadi sasa kudai fidia

SAKATA la mbegu za pamba zilizogoma kuota limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wakulima wa zao hilo wilayani Bariadi, Simiyu kuanza kukusanya saini zao ili waweze kuwasilisha madai ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Ongezeko la ajali za barabarani, madhara yake kiuchumi na haki ya kudai fidia

Ajali za barabarani zimekuwa ni janga kubwa kwa taifa letu. Ajali hizi kwa muda wa hivi karibuni zimeongezeka sana na kusababisha watu kufariki dunia, kupotelewa mali, kupata majeraha, kupata ulemavu wa kudumu na watu wengi wamejikuta maskini kwa sababu ya ajali za barabarani. Wengine wanafia njiani wakihangaika kupata haki zao.

 

10 years ago

Habarileo

Wataka marekebisho ya sheria kuwapa haki abiria wa mabasi kudai fidia

Katibu Mtendaji wa Sumatra CCC, Oscar Kikoyo SERIKALI imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria za usalama barabarani ziwezeshe kutoa haki kwa mtumiaji wa mabasi anapopata ajali, alipwe bima kama ilivyo kwa watumiaji wa ndege na meli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waomba mwekezaji apunguziwe ardhi

WANANACHI wa Kijiji cha Kwamsisi wilayani Handeni, Tanga wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kubadilisha hati ya umiliki wa eneo la Mwekezaji wa Kampuni ya Susumua Holding inayojishughulisha na masuala ya kilimo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwekezaji auza ardhi kinyemela Arumeru

>Serikali imemwagiza mwekezaji kwenye shamba la Karangai, Pradep Zodia kurejesha kwa wananchi zaidi ya hekari 2,000  ambazo ameziuza kwa wawekezaji wengine.

 

10 years ago

Habarileo

Lukuvi amaliza mgogoro wa ardhi Chasimba, mwekezaji

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviHATIMAYE Serikali imekata mzizi wa fitina kwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliokuwepo baina ya wakazi wa Chasimba na mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Wazo Hill, kwa kuirudisha ardhi hiyo kwa wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwekezaji adaiwa kupora ardhi hekari 3,700

BAADHI ya wananchi wa Kijiji cha Bihata, Kata ya Kyebitembe Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wamedai kuporwa ardhi yao ipatayo hekari 3,700 na mwekezaji, Diolex Joseph. Pia wananchi hao wanalalamikia...

 

10 years ago

Mwananchi

Ashauri kubadili mfumo ulipaji fidia ya ardhi

Serikali imetakiwa kubadilisha mfumo wa zamani wa ulipaji fidia kwa wananchi na kutumia mfumo wa kisasa, ili mwananchi aweze kufaidika na ardhi yake baada ya kupimwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Msitoe ardhi yenu kabla hamjalipwa fidia - Kinana

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewatahadharisha wananchi kuacha kutoa maeneo yao kabla hawajalipwa fidia pindi wanapoletewa miradi ya kupanua miji na halmashauri zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani