Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwekezaji auza ardhi kinyemela Arumeru

>Serikali imemwagiza mwekezaji kwenye shamba la Karangai, Pradep Zodia kurejesha kwa wananchi zaidi ya hekari 2,000  ambazo ameziuza kwa wawekezaji wengine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WANANCHI ARUMERU WAVAMIA SHAMBA LA MWEKEZAJI LA KARAMU

Baaadhi ya mabango yaliyokutwa katika Karamu lililopo kijiji cha Nndatu wilayani Arumeru baada ya wananchi kuvamia shamaba hilo usiku wa manane na kuamua kuotesha migomba.Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassar akiwa ameongozana na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo kutembelea eneo hilola Shamba akiungana mkono na hatua hiyo ya wananchi.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.Baadhi ya wananchi katika kijiji cha Nkoaranga na Poli wameingia katika Shamba la Karamu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi Arumeru wavamia shamba la mwekezaji la Karamu Estate

IMG-20150326-WA0035

IMG-20150326-WA0034

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiwa ameongozana na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo kutembelea eneo hilo la Shamba akiungana mkono na hatua hiyo ya wananchi.

IMG-20150326-WA0045

Baadhi ya mabango yaliyokutwa katika Karamu lililopo kijiji cha Nndatu wilayani Arumeru baada ya wananchi kuvamia shamba hilo usiku wa manane na kuamua kuotesha migomba.

Baadhi ya wananchi katika kijiji cha ARUMERU, Nkoaranga na Poli wameingia katika Shamba la Karamu (Karamu Estate) usiku wa manane na...

 

11 years ago

Mwananchi

Uuzwaji ardhi kinyemela jimboni Monduli wamchefua Lowassa

Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa ameagiza kuondolewa madarakani mara moja viongozi Serikali za vijiji watakaobainika, kuuza ardhi za vijiji “kinyemela”, katika Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waomba mwekezaji apunguziwe ardhi

WANANACHI wa Kijiji cha Kwamsisi wilayani Handeni, Tanga wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kubadilisha hati ya umiliki wa eneo la Mwekezaji wa Kampuni ya Susumua Holding inayojishughulisha na masuala ya kilimo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwekezaji aliyepokwa ardhi kudai fidia

BAADA ya Halmashauri ya wilaya ya Kilosa kuligawa eneo la mwekezaji Mees Estate Ltd kwa wanakijiji cha Mbigili, Kitongoji cha Mateteni kwa madai kuwa imefutiwa umiliki, uongozi wa mwekezaji huyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwekezaji adaiwa kupora ardhi hekari 3,700

BAADHI ya wananchi wa Kijiji cha Bihata, Kata ya Kyebitembe Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wamedai kuporwa ardhi yao ipatayo hekari 3,700 na mwekezaji, Diolex Joseph. Pia wananchi hao wanalalamikia...

 

10 years ago

Habarileo

Lukuvi amaliza mgogoro wa ardhi Chasimba, mwekezaji

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviHATIMAYE Serikali imekata mzizi wa fitina kwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliokuwepo baina ya wakazi wa Chasimba na mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Wazo Hill, kwa kuirudisha ardhi hiyo kwa wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Mgogoro mwingine wa ardhi wazuka Arumeru

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviSAKATA la migogoro ya ardhi katika wilaya ya Arumeru mkoani Arusha imekuwa ikichukua sura mpya kila kukicha, sasa kumeibuka mgogoro mwingine wa kugombea mpaka kati ya Kijiji cha Olkung’wadu wilayani humo na kijiji cha Lekimurunyi cha wilayani Siha, Mkoani Kilimanjaro.

 

10 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI‏

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na Viongozi wa Umoja wa Mafundi Magari Tegeta wakati akikagua eneo lenye mgogoro wa ardhi kati ya wanaumoja huo pamoja na mwekezaji alipokwenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro huo Dar es Salaam jana.  DC Paul Makonda akiwahutubia wana umoja huo.  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani