Mwekezaji auza ardhi kinyemela Arumeru
>Serikali imemwagiza mwekezaji kwenye shamba la Karangai, Pradep Zodia kurejesha kwa wananchi zaidi ya hekari 2,000Â ambazo ameziuza kwa wawekezaji wengine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s72-c/IMG-20150326-WA0021.jpg)
WANANCHI ARUMERU WAVAMIA SHAMBA LA MWEKEZAJI LA KARAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s640/IMG-20150326-WA0021.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_xOfh3ig93g/VRUEs4eivkI/AAAAAAAANiU/ZzNJTcjuVIU/s640/IMG-20150326-WA0035.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9hL8_iqEhJ0/VRUEuK1gllI/AAAAAAAANig/VS4OCg4wq_k/s640/IMG-20150326-WA0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UHHzHtEI2hA/VRUEvdVqFUI/AAAAAAAANio/Ih9pwYFiAMs/s640/IMG-20150326-WA0044.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHjFWUey6fw/VRUEwVpR_GI/AAAAAAAANis/DU1NVXaHkqE/s640/IMG-20150326-WA0045.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fZkyHvquF3E/VRUFzAN42pI/AAAAAAAANi4/Lv5BOJsiEJ4/s1600/IMG-20150326-WA0034.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Wananchi Arumeru wavamia shamba la mwekezaji la Karamu Estate
![](http://4.bp.blogspot.com/-3n5ZMWicNEo/VRUEpDUE6bI/AAAAAAAANh4/koI112_IHlA/s640/IMG-20150326-WA0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPvQcDR2lw0/VRUEqcFD01I/AAAAAAAANh8/VpY-Sx5khDg/s640/IMG-20150326-WA0021.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NOU9jQxcMz8/VRUErJKAbaI/AAAAAAAANiE/3loJ8dPBeT0/s640/IMG-20150326-WA0033.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9hL8_iqEhJ0/VRUEuK1gllI/AAAAAAAANig/VS4OCg4wq_k/s640/IMG-20150326-WA0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UHHzHtEI2hA/VRUEvdVqFUI/AAAAAAAANio/Ih9pwYFiAMs/s640/IMG-20150326-WA0044.jpg)
![IMG-20150326-WA0034](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG-20150326-WA0034.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiwa ameongozana na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo kutembelea eneo hilo la Shamba akiungana mkono na hatua hiyo ya wananchi.
Baadhi ya mabango yaliyokutwa katika Karamu lililopo kijiji cha Nndatu wilayani Arumeru baada ya wananchi kuvamia shamba hilo usiku wa manane na kuamua kuotesha migomba.
Baadhi ya wananchi katika kijiji cha ARUMERU, Nkoaranga na Poli wameingia katika Shamba la Karamu (Karamu Estate) usiku wa manane na...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Uuzwaji ardhi kinyemela jimboni Monduli wamchefua Lowassa
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Waomba mwekezaji apunguziwe ardhi
WANANACHI wa Kijiji cha Kwamsisi wilayani Handeni, Tanga wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kubadilisha hati ya umiliki wa eneo la Mwekezaji wa Kampuni ya Susumua Holding inayojishughulisha na masuala ya kilimo...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mwekezaji aliyepokwa ardhi kudai fidia
BAADA ya Halmashauri ya wilaya ya Kilosa kuligawa eneo la mwekezaji Mees Estate Ltd kwa wanakijiji cha Mbigili, Kitongoji cha Mateteni kwa madai kuwa imefutiwa umiliki, uongozi wa mwekezaji huyo...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Mwekezaji adaiwa kupora ardhi hekari 3,700
BAADHI ya wananchi wa Kijiji cha Bihata, Kata ya Kyebitembe Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wamedai kuporwa ardhi yao ipatayo hekari 3,700 na mwekezaji, Diolex Joseph. Pia wananchi hao wanalalamikia...
10 years ago
Habarileo14 Jun
Lukuvi amaliza mgogoro wa ardhi Chasimba, mwekezaji
HATIMAYE Serikali imekata mzizi wa fitina kwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliokuwepo baina ya wakazi wa Chasimba na mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Wazo Hill, kwa kuirudisha ardhi hiyo kwa wananchi.
10 years ago
Habarileo04 Jun
Mgogoro mwingine wa ardhi wazuka Arumeru
SAKATA la migogoro ya ardhi katika wilaya ya Arumeru mkoani Arusha imekuwa ikichukua sura mpya kila kukicha, sasa kumeibuka mgogoro mwingine wa kugombea mpaka kati ya Kijiji cha Olkung’wadu wilayani humo na kijiji cha Lekimurunyi cha wilayani Siha, Mkoani Kilimanjaro.
10 years ago
GPLMKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI