Waomba mwekezaji apunguziwe ardhi
WANANACHI wa Kijiji cha Kwamsisi wilayani Handeni, Tanga wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kubadilisha hati ya umiliki wa eneo la Mwekezaji wa Kampuni ya Susumua Holding inayojishughulisha na masuala ya kilimo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Sep
Waomba Waziri aingile kati mgogoro na mwekezaji
WAKAZI 250 wa Kitongoji cha Chaduma, Kata ya Maneromango, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wamemuomba Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka aingilie kati mgogoro ulioibuka baada ya kutakiwa kuhama kwenye eneo hilo kwa madai ya kuishi hapo kinyume cha Sheria za Ardhi.
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Mwekezaji auza ardhi kinyemela Arumeru
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mwekezaji aliyepokwa ardhi kudai fidia
BAADA ya Halmashauri ya wilaya ya Kilosa kuligawa eneo la mwekezaji Mees Estate Ltd kwa wanakijiji cha Mbigili, Kitongoji cha Mateteni kwa madai kuwa imefutiwa umiliki, uongozi wa mwekezaji huyo...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Mwekezaji adaiwa kupora ardhi hekari 3,700
BAADHI ya wananchi wa Kijiji cha Bihata, Kata ya Kyebitembe Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wamedai kuporwa ardhi yao ipatayo hekari 3,700 na mwekezaji, Diolex Joseph. Pia wananchi hao wanalalamikia...
10 years ago
Habarileo14 Jun
Lukuvi amaliza mgogoro wa ardhi Chasimba, mwekezaji
HATIMAYE Serikali imekata mzizi wa fitina kwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliokuwepo baina ya wakazi wa Chasimba na mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Wazo Hill, kwa kuirudisha ardhi hiyo kwa wananchi.
10 years ago
GPLMKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI
5 years ago
MichuziOFISI YA ARDHI MKOA WA MARA KUWEZESHWA VIFAA VYA UPIMAJI ARDHI
5 years ago
CCM BlogOFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_122816.jpg)
LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI
![IMG_20200624_122816 IMG_20200624_122816](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200624_122816.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...