OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua ofisi ya ardhi ya mkoa wa Manyara jana. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara Alexzander Mnyeti na kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mary Makondo.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akioongozwa na Kamishna Msaidizi wa Ofisi ya Ardhi mkoa wa Manyara Leonard Msafiri (kushoto) wakati wa uzinduzi wa ofisi ya ardhi ya mkoa huo jana. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PCdcQRGzMH4/XrmCoY6R0sI/AAAAAAALp0A/ZcpmEtyenGsxIo5PwJ6i6h8Q4Ahde4mwgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
Migogoro ya ardhi kaa la Moto,Kufunguliwa ofisi za ardhi mikoani kuleta ahueni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wn6ZAlqBrLg/XuG9dY0jGxI/AAAAAAAEHlo/5P2FdmhTBTAKT5zn7yFd8HztbdmfckmWQCLcBGAsYHQ/s72-c/3-10-768x448.jpg)
HALMASHAURI ZATAKIWA KUWA NA OPERESHENI MAALUM YA UPIMAJI ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wn6ZAlqBrLg/XuG9dY0jGxI/AAAAAAAEHlo/5P2FdmhTBTAKT5zn7yFd8HztbdmfckmWQCLcBGAsYHQ/s640/3-10-768x448.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akishangaa utunzaji Nyaraka na Majalada ya Ardhi kwenye ofisi za Ardhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Tarime mkoa wa Mara alipokuwa katika ziara ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4-8.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akitoka kwenye Ofisi za Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Tarime alipokuwa katika ziara yake ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mkoani Mara jana.
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2vudmYvNVfA/XvcCH2U62-I/AAAAAAALvrI/fwJ8FRjZ0RQ1kKREhlAFi9RmxPZRU47EQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-57.jpg)
WAKURUGENZI H/M WATAKIWA KUWATUMIA WATAALAMU WA OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-2vudmYvNVfA/XvcCH2U62-I/AAAAAAALvrI/fwJ8FRjZ0RQ1kKREhlAFi9RmxPZRU47EQCLcBGAsYHQ/s640/1-57.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-39.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akifafanua jambo kwa Mpima wa Ofisi ya Ardhi mkoa wa Iringa Makuka Mkasa wakati wa uzinduzi wa ofisi ya ardhi mkoa wa Iringa jana. Wengine katika picha wa pili kushoto ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qkAsdO85el8/XpCs1YO4FrI/AAAAAAALmuw/KL-bY-WtR8U8_-D9_rHXM3Bvs6wr8VDZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-19.jpg)
WATENDAJI SEKTA YA ARDHI OFISI ZA MIKOA WATAKIWA KUEPUKA URASIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qkAsdO85el8/XpCs1YO4FrI/AAAAAAALmuw/KL-bY-WtR8U8_-D9_rHXM3Bvs6wr8VDZwCLcBGAsYHQ/s640/1-19.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mary Makondo akizungumza wakati wa kufunga mafunzo kwa watendaji wa sekta ya Ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-13.jpg)
Kamishna wa Ardhi nchini Nathaniel Nhonge akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya Watendaji wa sekta ya ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi...
5 years ago
MichuziOFISI YA ARDHI MKOA WA MARA KUWEZESHWA VIFAA VYA UPIMAJI ARDHI
9 years ago
StarTV04 Jan
 Wataalam wa ardhi watakiwa kuwa makini katika upimaji ili Kuepuka Migogoro
Wataalam wa ardhi katika Halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya wametakiwa kuwa makini wakati wa utekelezaji wa kazi ya upimaji wa viwanja vya makazi na mji wa halmashauri hiyo ili kuepuka migogoro ya ardhi isiyo ya lazima na wananchi.
Tahadhari hiyo imetolewa na Kamishna wa Ardhi kanda ya kaskazini Suma Tumpale kutokana nia taarifa ya wataalamu wa Ardhi wa Halmashauri hiyo kueleza kuwepo kwa mgomo wa baadhi ya wananchi wanaopinga uendeshwaji wa zoezi hilo katika maeneo yao.
Halmashauri ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMc_c4zvVU/XvXmY1n6a4I/AAAAAAALviM/w_sQcjQijx42DP4M7qi1ne95z7e-ck6DQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-51.jpg)
WAZIRI LUKUVI AAGIZA WASAJILI WASAIDIZI WA HATI OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMc_c4zvVU/XvXmY1n6a4I/AAAAAAALviM/w_sQcjQijx42DP4M7qi1ne95z7e-ck6DQCLcBGAsYHQ/s640/1-51.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe kuzindua rasmi ofisi ya ardhi ya mkoa wa Singida jana. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa mkoa wa Singida ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili wa pili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Mary Makondo na wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Alhaji Juma Kilimba.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-36.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza wakati wa uzinduzi ofisi ya ardhi mkoa wa Singida jana....
9 years ago
StarTV06 Jan
Sekta za ardhi, utawala zatakiwa kushughulikiwa
Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Manyara kimesema katika utekelezaji wa ilani yake kwa kipindi hiki cha Serikali ya awamu ya tano, changamoto kubwa zinazotakiwa kushughulikiwa ziko katika sekta za ardhi na utawala ambazo ndizo zinazolalamikiwa zaidi na wananchi.
Maeneo hayo yanadaiwa kuwa ndiyo kero kubwa zinazochangia wananchi kuiona Serikali haiwathamini.
Kasi hiyo kwa mjibu wa wataalamu inachangia kuwepo kwa changamoto kubwa hasa katika mpango wa matumizi bora ya ardhi yanayoibua...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10