WAZIRI LUKUVI AAGIZA WASAJILI WASAIDIZI WA HATI OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMc_c4zvVU/XvXmY1n6a4I/AAAAAAALviM/w_sQcjQijx42DP4M7qi1ne95z7e-ck6DQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-51.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe kuzindua rasmi ofisi ya ardhi ya mkoa wa Singida jana. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa mkoa wa Singida ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili wa pili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Mary Makondo na wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Alhaji Juma Kilimba.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza wakati wa uzinduzi ofisi ya ardhi mkoa wa Singida jana....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K8G6SP7mC_k/XvGGtuofJ5I/AAAAAAALu_8/1Oq-UpvIGjIGGFPsiMWCqTg4y7uFt0mYwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-42.jpg)
WAZIRI LUKUVI AAGIZA HATI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K8G6SP7mC_k/XvGGtuofJ5I/AAAAAAALu_8/1Oq-UpvIGjIGGFPsiMWCqTg4y7uFt0mYwCLcBGAsYHQ/s640/1-42.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-29.jpg)
Muonekano wa Ofisi mpya ya Ardhi mkoa wa Tanga ambayo imezinduliwa rasmi jana na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-30.jpg)
Baadhi ya Wananchi...
5 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI
5 years ago
CCM BlogWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WALIOTELEKEZA HATI ZAO ZA ARDHI AMBAZO ZIPO TAYARI
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Maafisa Ardhi nchini kuhakikisha wanawafuatilia wamiliki wa ardhi ambao hati zao zimekamilika lakini...
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Lukuvi aagiza halmashauri kutenga ardhi kwa NHC
5 years ago
CCM BlogOFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI
10 years ago
Habarileo23 Jun
Lukuvi aagiza upimaji ardhi kote nchini
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameziagiza halmashauri nchini kuharakisha upimaji wa ardhi na mashamba katika maeneo ya wananchi ambao ndio wamiliki wa asili wa maeneo hayo ili kuondoa migogoro ya ardhi inayosababisha wananchi kuichukia Serikali yao.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_122816.jpg)
LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI
![IMG_20200624_122816 IMG_20200624_122816](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200624_122816.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dCtbW8R5Wao/VbkNweBJ_WI/AAAAAAAHsl8/VJVfNU53r-U/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Uingereza yashirikiana na TAKUKURU kutoa mafunzo kwa maafisa toka ofisi 27 za mikoa
Mafunzo haya yamefadhiliwa na DFID kama sehemu ya Mpango wa Kuimarisha Mapambano dhidi ya Rushwa Tanzania (STACA) na inasimamiwa na Afisa wa Uingereza toka kitengo cha NCA, Bwana Phill Jones.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dCtbW8R5Wao/VbkNweBJ_WI/AAAAAAAHsl8/VJVfNU53r-U/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...