OFISI YA ARDHI MKOA WA MARA KUWEZESHWA VIFAA VYA UPIMAJI ARDHI
Na Munir Shemweta, WANMM MUSOMA Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesema wizara yake itaipatia ofisi ya ardhi mkoa wa Mara vifaa vya upimaji ili viweze kutumiwa na halmashauri za mkoa huo kwa lengo la kuongeza kasi ya upimaji. Dkt Mabula alitoa kauli hiyo jana wilayani Musoma mkoa wa Mara alipokwenda kukagua ofisi mpya ya ardhi ya mkoa Mara ikiwa ni jitihada za wizara ya ardhi kusogeza huduma za ardhi kwa wananchi. Awali huduma za ardhi zilikuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w34sNCwelvQ/Xn7wH0z8C-I/AAAAAAALlXQ/j63sAy3hxiIDFZd173HZFUyMEu0E-UcDwCLcBGAsYHQ/s72-c/BK-1.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ACHOSHWA NA BAJETI ZA UPIMAJI ARDHI HALMASHAURI ZA MKOA WA KAGERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-w34sNCwelvQ/Xn7wH0z8C-I/AAAAAAALlXQ/j63sAy3hxiIDFZd173HZFUyMEu0E-UcDwCLcBGAsYHQ/s640/BK-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti ofisini kwake jana alipowasili mkoani Kagera akiwa katika ziara yake ya kikazi ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mkoani humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/BK-2.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti (kushoto) jana baada ya kuzungumza naye ofsini kwake akiwa katika ziara ya...
5 years ago
CCM BlogOFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PCdcQRGzMH4/XrmCoY6R0sI/AAAAAAALp0A/ZcpmEtyenGsxIo5PwJ6i6h8Q4Ahde4mwgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
Migogoro ya ardhi kaa la Moto,Kufunguliwa ofisi za ardhi mikoani kuleta ahueni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JGYFP0Am2tQ/Xre5TKXWmUI/AAAAAAALpps/eMFRi6ATNIwLNeiLo1ZEMzvvhPzN95gxgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-6.jpg)
OFISI ZA ARDHI ZAANZA RASMI KILA MKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JGYFP0Am2tQ/Xre5TKXWmUI/AAAAAAALpps/eMFRi6ATNIwLNeiLo1ZEMzvvhPzN95gxgCLcBGAsYHQ/s640/1-6.jpg)
Watendaji wa sekta ya ardhi katika ofisi ya Ardhi ya mkoa wa Katavi wakiwa wamesimama katika Bango la kutambulisha ofisi ya mkoa huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-6.jpg)
Watendaji wa sekta ya ardhi katika ofisi ya Ardhi ya mkoa wa Tanga wakiwa wamesimama katika Bango la kutambulisha ofisi ya mkoa huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-4.jpg)
Watendaji wa sekta ya ardhi katika ofisi ya Ardhi ya mkoa wa Njombe wakiwa wamesimama katika Bango la kutambulisha ofisi ya mkoa huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-4.jpg)
Watendaji wa sekta ya ardhi katika ofisi ya Ardhi ya mkoa wa Iringa wakiwa wamesimama katika...
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wizara ya Ardhi yawatangazia umma kuwasilisha malalamiko ya mgogoro ya Ardhi mkoa wa Dar
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi.
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZARA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-
1.TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;
2.TAREHE...
10 years ago
Habarileo04 Jul
Kanda zaagizwa kutumia vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi
SERIKALI imeagiza kila kanda kuwa na vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi ambavyo vitawekwa katika halmashauri mbalimbali nchini, ili viweze kutumiwa na vijana wanaohitimu vyuo wenye taaluma ya masuala ya ardhi.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zwDd4dLLkjU/VX-3ghWtusI/AAAAAAAA__s/1FaMGuIw-94/s72-c/B%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI,ANGELA KAIRUKI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MKOA WA KILIMANJARO JUU YA TUHUMA MBALIMBALI ZA ARDHI ZILIZOIBULIWA BUNGENI HIVI KARIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwDd4dLLkjU/VX-3ghWtusI/AAAAAAAA__s/1FaMGuIw-94/s640/B%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mBnHPlifuKQ/VX-3lBOHMkI/AAAAAAABAAk/9PkOTWyiRe8/s640/B%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pVIjpLHIp-s/VX-3lg82YEI/AAAAAAABAAg/GhVjrTaOn0A/s640/B%2B3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QZAZq8w1bMg/VX8czMuiTBI/AAAAAAAAQ90/7e0_rVbgsYs/s72-c/E86A0340%2B%2528800x533%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI,ANGELA KAIRUKI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MKOA WA KILIMANJARO JUU YA TUHUMA MBALIMBALI ZA ARDHI ZILIZOIBULIWA BUNGENI HII KARIBUNI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-QZAZq8w1bMg/VX8czMuiTBI/AAAAAAAAQ90/7e0_rVbgsYs/s640/E86A0340%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rKtaqS6HgjI/VX8cyw8Xp3I/AAAAAAAAQ9w/lepr3NqYO8M/s640/E86A0344%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nEeU9Dpq7c0/VX8dFSWsesI/AAAAAAAAQ_s/1YnS_gxMlZA/s640/E86A0397%2B%2528800x533%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f5ByzKFhaUs/XsFBeSMDaOI/AAAAAAALqkk/RL-CWZfCpb4wAbgMnUoZfB__7Qnd5MTmwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC-01245-768x433.jpg)
WIZARA YA ARDHI YAPOKEA VIFAA VYA ZOEZI LA URASIMISHAJI MAKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-f5ByzKFhaUs/XsFBeSMDaOI/AAAAAAALqkk/RL-CWZfCpb4wAbgMnUoZfB__7Qnd5MTmwCLcBGAsYHQ/s640/DSC-01245-768x433.jpg)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi (kulia) akizungumza na Mkurugenzi wa Mipango, Mikakati na Mahusiano wa Kitaasisi za Benki ya Maendeleo ya TIB, Bw. Patrick Mongella (kushoto) wakati Benki ya TIB ilipounga mkono jitihada za Wizara Ardhi za uanzishaji wa masjala za kutunza nakala za hati za umiliki wa ardhi ikiwa sehemu ya zoezi la urasimishaji wa makazi linalofanyika nchi nzima.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC-01246-1024x578.jpg)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akihimiza...