Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIZARA YA ARDHI YAPOKEA VIFAA VYA ZOEZI LA URASIMISHAJI MAKAZI






Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi (kulia) akizungumza na Mkurugenzi wa Mipango, Mikakati na Mahusiano wa Kitaasisi za Benki ya Maendeleo ya TIB, Bw. Patrick Mongella (kushoto) wakati Benki ya TIB ilipounga mkono jitihada za Wizara Ardhi za uanzishaji wa masjala za kutunza nakala za hati za umiliki wa ardhi ikiwa sehemu ya zoezi la urasimishaji wa makazi linalofanyika nchi nzima.



Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akihimiza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ILEMELA KINARA ZOEZI LA URASIMISHAJI MAKAZI


Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi Hati ya umiliki ardhi Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega wakati wa zoezi la ugawaji hati katika Manispaa ya Ilemela mkoa wa Mwanza jana.


Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza wakati wa zoezi la ugawaji hati miliki za ardhi kwa wananchi wa Manispaa ya Ilemela mkoa wa Mwanza jana. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela ambaye ni Afisa Ardhi...

 

10 years ago

Michuzi

Wizara ya Afya yapokea magari na vifaa vya afya kutoka WHO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donald Mmbando (kushoto)akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari leo baada ya kupokea msaada wa magari manne na vifaa vya afya  kutoka kwa Mwakilishi wa Shirika la Afya la Dunia(WHO),Dk. Rufaro Chotaro(kulia).Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donald Mmbando (kushoto)akipokea moja ya funguo kati ya magari manne kutoka kwa Mwakilishi wa Shirika la Afya la Dunia(WHO),Dk. Rufaro Chotaro(kulia).Magari manne na vifaa vya...

 

9 years ago

Michuzi

Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula astukizia baraza la ardhi kinondoni

 Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula (Mb), akiangalia mafaili ya kesi mbalimbali katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Kinondoni, jijini Dar es salaam, alipofanya ziara ya kushtukiza katika Baraza hilo, kulia kwake ni karani wa baraza hilo, Bahati Rashidi.

 Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula (Mb), akitazama utunzwaji wa mafaili katika masijala alipofanya ziara ya kushtukiza katika Baraza la Ardhi na Nyumba la...

 

11 years ago

Michuzi

Bajeti ya Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi ya wasilishwa

 Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Prof.Anna Tibaijuka kulia akiwa na naibu Waziri wake wa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe.Simbachawene wakati akijianda kuwasilisha Bajeti ya Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka 2014/2015 leo .Mjadala wa Bajeti hiyo utaendelea kujadiliwa kesho. Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof.Anna Tibaijuka  akiwasilisha Bajeti ya Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka 2014/2015 leo .Mjadala wa Bajeti hiyo utaendelea...

 

11 years ago

Michuzi

Bajeti ya Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi ilipojadiliwa Bungeni

Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi,Mhe. Prof. Anna Tibaijuka akiwa amebeba Makabrasha wakati akielekea kwenda kujibu hoja za Waheshimiwa Wabunge wakati Bunge likijadili Bajeti ya Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka 2014/2015. Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi,Mhe.Anna Tibaijuka akijibu Hoja za Wabunge wakati Bunge likijadili Bajeti ya Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka 2014/2015. Naibu Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe.George...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA ARDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI YAIMALISHA MIPAKA YA NCHI

Mkurugenzi msaidizi, Topografia na Jiodesia, wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dr. James Mtamakaya,(katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mipaka ya Kimataifa, baina ya Tanzania na nchi jirani, katika ukumbi wa HABARI – MAELEZO, (kulia)ni Mpima Ardhi, Geofrey Kameta na (kushoto) kwake ni Mkurugenzi msaidizi, Upimaji Vijijini, Huruma Lugalla.
Mkurugenzi msaidizi, Upimaji vijijini, Bw. Huruma Lugalla akionyesha kwenye ramani mipaka mbalimbali ya ndani ya nchi na...

 

5 years ago

Michuzi

OFISI YA ARDHI MKOA WA MARA KUWEZESHWA VIFAA VYA UPIMAJI ARDHI

Na Munir Shemweta, WANMM MUSOMA Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesema wizara yake itaipatia ofisi ya ardhi mkoa wa Mara vifaa vya upimaji ili viweze kutumiwa na halmashauri za mkoa huo  kwa lengo la kuongeza kasi ya upimaji. Dkt Mabula alitoa kauli hiyo jana wilayani Musoma mkoa wa Mara alipokwenda kukagua ofisi mpya ya ardhi ya mkoa Mara ikiwa ni jitihada za wizara ya ardhi kusogeza huduma za ardhi kwa wananchi. Awali huduma za ardhi zilikuwa...

 

5 years ago

Michuzi

KATAVI YAPOKEA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA


* RC KATAVI  ATOA SAA 48 KWA MCHINA ALIYEKATAA KUNAWA AFIKISHWE MAHAKAMANI.


Serikali Mkoani Katavi imepokea Vifaa tiba kwa ajili ya kuendelea na mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Corona ikiwemo vifaa vinavyotumika kupima joto la mwili ambapo ni miongoni mwa changamoto iliyokuwa ikiukabiri Mkoa huo huku Mkuu wa Mkoa wa Katavi akitoa masaa 48 kwa Jeshi la Polisi kumfikisha Mahakamani Raia wa Kichina aliyekataa kunawa mikono yake maji tiririka.

Akipokea Vifaa hivyo kutoka Water Reed Program...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani