Waomba Waziri aingile kati mgogoro na mwekezaji
WAKAZI 250 wa Kitongoji cha Chaduma, Kata ya Maneromango, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wamemuomba Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka aingilie kati mgogoro ulioibuka baada ya kutakiwa kuhama kwenye eneo hilo kwa madai ya kuishi hapo kinyume cha Sheria za Ardhi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Waomba mwekezaji apunguziwe ardhi
WANANACHI wa Kijiji cha Kwamsisi wilayani Handeni, Tanga wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kubadilisha hati ya umiliki wa eneo la Mwekezaji wa Kampuni ya Susumua Holding inayojishughulisha na masuala ya kilimo...
11 years ago
Michuzi05 Apr
KINANA AINGILIA KATI MGOGORO SUGU WA ARDHI KATI YA WANANCHI NA MWENKEZAJI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA
10 years ago
Habarileo14 Jun
Lukuvi amaliza mgogoro wa ardhi Chasimba, mwekezaji
HATIMAYE Serikali imekata mzizi wa fitina kwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliokuwepo baina ya wakazi wa Chasimba na mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Wazo Hill, kwa kuirudisha ardhi hiyo kwa wananchi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V-tL0Vagw4k/U26FccUJshI/AAAAAAAFgtA/mhqFlnN69Yk/s72-c/unnamed+(12).jpg)
balozi seif aagiza usimamizi wa makubaliano kati ya mwekezaji wa hoteli ya sea cliff na wanakijiji
10 years ago
GPLMKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Kilufi: Serikali iingilie kati mgogoro Kapunga
MBUNGE wa Mbarali, Modestus Kilufi, ameiomba serikali kuingilia kati msimamo wa mwekezaji wa Shirika la Kapunga kukaidi maamuzi ya kamati ya halmashauri ya ujenzi wa barabara. Akizungumza na Tanzania Daima...
9 years ago
StarTV12 Nov
ACT Wazalendo wamwomba Dk. Magufuli kuingilia kati mgogoro wa Zanzibari
Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli kuingilia kati suala la mgogoro wa Zanzibar na hatimaye matokeo ya uchaguzi yafahamike na mshindi atangazwe.
Kiongozi wa Chama hicho ambaye pia ni Mbunge mteule wa Kigoma Ujiji Zitto Kabwe amesema Rais asiposhughulikia suala hilo linaweza kusababisha mpasuko mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kazi anazozifanya...
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA MVOMERO AINGILIA KATI MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI KUHUSIANA NA BONDE LA MGONGOLA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oS_q4fuqMoE/U9_tYk4L6aI/AAAAAAAF9JE/MkV57osoLfQ/s72-c/unnamed+(2).jpg)
MAASKOFU MORAVIAN WATINGA OFISINI KWA CHIKAWE,WAMUOMBA AINGILIE KATI MGOGORO NDANI YA KANISA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oS_q4fuqMoE/U9_tYk4L6aI/AAAAAAAF9JE/MkV57osoLfQ/s1600/unnamed+(2).jpg)