KINANA AINGILIA KATI MGOGORO SUGU WA ARDHI KATI YA WANANCHI NA MWENKEZAJI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana ameingilia kati Mgogoro wa ardhi uliokuwa ukifukuta kwa muda mrefu katika kijiji cha Mawenzusi,wilaya ya Sumbawanga mjini.Mgogoro huo uliohusu Wananchi na anayedaiwa kuwa Mwekezaji inaelezwa kuwa maamuzi yalikwishatolewa na Mh.Rais Jakaya Kikwete,kuwa Wananchi wapewe kipao mbele na Mwekezaji apewe kiasi,lakini mpaka sasa hakuna lililotekelezwa kufuatia Watendaji waliokuwa wamepewa dhamana ya kulisimamia jambo hilo kusua sua na hatimaye kutopatiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Og0fz8kW4rY/U0An4RMQg0I/AAAAAAACeO0/2J1EwXm36TI/s72-c/IMG_3343.jpg)
KINANA AJITWISHA MGOGORO SUGU WA SHAMBA LA TAASISI YA EFATHA NA WANANCHI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Og0fz8kW4rY/U0An4RMQg0I/AAAAAAACeO0/2J1EwXm36TI/s1600/IMG_3343.jpg)
Kinana alisema kitendo cha Serikali kuchukua shamba hilo na kulibinafsisha kwa Efatha bila kuwapa taarifa wanakijiji ni kuwadhulumu wanakijiji hao. "Tutakwenda kulifanyia kazi suala hili haiwezekani shamba la zaidi ya ekari 10,000 likae tu bila shughuli yoyote, Nawaambieni hivi. shamba lenu mmedhulumiwa na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E7F4kRMiW2I/U0AVIj_fnHI/AAAAAAACeL8/LdMkIhFlqFA/s72-c/IMG_3498.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAGUA MIRADI YA MAJI TAKA NA MAJI SAFI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-E7F4kRMiW2I/U0AVIj_fnHI/AAAAAAACeL8/LdMkIhFlqFA/s1600/IMG_3498.jpg)
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA MVOMERO AINGILIA KATI MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI KUHUSIANA NA BONDE LA MGONGOLA
9 years ago
Mwananchi24 Sep
DC aingilia mgogoro sugu wa maji
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xtnlwF9ufIM/Xk6lqDZpnzI/AAAAAAALelo/6jqIZ27vGHYyIF_XGSOunN5_6RQj1pT1wCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-02-20-05h41m13s605.png)
DC ataka kanisa kuendeleza ardhi,wananchi wamuomba Rais kuingilia kati
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtnlwF9ufIM/Xk6lqDZpnzI/AAAAAAALelo/6jqIZ27vGHYyIF_XGSOunN5_6RQj1pT1wCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-02-20-05h41m13s605.png)
Wananchi wa kijiji cha Magoda halmashauri ya mji wa Njombe mkoani Njombe wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi uliotolewa na mkuu wa wilaya Ruth Msafiri wa kuliachia kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania KKKT dayosisi ya kusini, ardhi yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 580 kwa madai ya kwamba hawana sifa kisheria za umiliki wa eneo hilo.
Kufuatia agizo hilo ambalo limetolewa mbele ya mkutano wa hadhara, wananchi wanasema wanafikiri kwenda kuitafuta haki yao katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dgRjoqw8ETA/VRMCVqzIlyI/AAAAAAAAGsY/xuBsaWsuH6o/s72-c/P3258764.jpg)
WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI MKOANI RUKWA LEO, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-dgRjoqw8ETA/VRMCVqzIlyI/AAAAAAAAGsY/xuBsaWsuH6o/s1600/P3258764.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ZZZ9DygmcY/VRMCWW7_VnI/AAAAAAAAGsc/xOdJIpYlOqM/s1600/P3258776.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3xv-tp1X3jk/VRMCXKUkUgI/AAAAAAAAGsk/X-yLenN2-zk/s1600/P3258783.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z4Bqh90N8CE/VRMCYiFbpkI/AAAAAAAAGs0/mru-NMziBfY/s1600/P3258823.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yxt2O7PRhW8/UziEE2p-HrI/AAAAAAAFXdc/hxPqDoTwQa8/s72-c/6.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AANZA ZIARA YAKE RASMI WILAYANI NKASI LEO MKOANI RUKWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yxt2O7PRhW8/UziEE2p-HrI/AAAAAAAFXdc/hxPqDoTwQa8/s1600/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vfSgk0pHU1M/UziELx1Aq-I/AAAAAAAFXdk/MRCzN6YNH6M/s1600/7.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7btTCq07I30/Uzmm1NwyQjI/AAAAAAAFXjs/xoRt33nJwvI/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AANZA RASMI ZIARA YAKE WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-7btTCq07I30/Uzmm1NwyQjI/AAAAAAAFXjs/xoRt33nJwvI/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-J7-wTq4gZHg/UznNhzknyQI/AAAAAAAFXmA/AOX8sf0LQys/s1600/15.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10