Kilufi: Serikali iingilie kati mgogoro Kapunga
MBUNGE wa Mbarali, Modestus Kilufi, ameiomba serikali kuingilia kati msimamo wa mwekezaji wa Shirika la Kapunga kukaidi maamuzi ya kamati ya halmashauri ya ujenzi wa barabara. Akizungumza na Tanzania Daima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi05 Apr
KINANA AINGILIA KATI MGOGORO SUGU WA ARDHI KATI YA WANANCHI NA MWENKEZAJI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA
10 years ago
Habarileo20 Sep
Waomba Waziri aingile kati mgogoro na mwekezaji
WAKAZI 250 wa Kitongoji cha Chaduma, Kata ya Maneromango, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wamemuomba Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka aingilie kati mgogoro ulioibuka baada ya kutakiwa kuhama kwenye eneo hilo kwa madai ya kuishi hapo kinyume cha Sheria za Ardhi.
9 years ago
StarTV12 Nov
ACT Wazalendo wamwomba Dk. Magufuli kuingilia kati mgogoro wa Zanzibari
Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli kuingilia kati suala la mgogoro wa Zanzibar na hatimaye matokeo ya uchaguzi yafahamike na mshindi atangazwe.
Kiongozi wa Chama hicho ambaye pia ni Mbunge mteule wa Kigoma Ujiji Zitto Kabwe amesema Rais asiposhughulikia suala hilo linaweza kusababisha mpasuko mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kazi anazozifanya...
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA MVOMERO AINGILIA KATI MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI KUHUSIANA NA BONDE LA MGONGOLA
Mbunge wa Mvomero, Mh Amos Makalla akiongea na wananchi nje ya kituo cha polisi kuwa mahabusu wapo salamaMbunge wa Mvomero, mkuu wa wilaya , Kamati ya ulinzi na...
11 years ago
MichuziMAASKOFU MORAVIAN WATINGA OFISINI KWA CHIKAWE,WAMUOMBA AINGILIE KATI MGOGORO NDANI YA KANISA
9 years ago
TheCitizen22 Aug
Kilufi now defects from Chadema to Zitto’s party
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Serikali yamaliza mgogoro Hifadhi ya Saadani
NA CHRISTOPHER LISSA
HATIMAYE serikali imeumaliza rasmi mgogoro wa ardhi uliodumu kwa kipindi kirefu baina ya Wizara ya Maliasiali na Utalii na Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, unaohusisha eneo Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
Aidha serikali imeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo , kukaa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) na wadau, kurejea mipaka ya zamani ya eneo hilo, ili kuepusha mgongano usio na tija.
Mgogoro huo uliibuka mwaka mwaka 2005, baada ya serikali kuipandisha...
10 years ago
Habarileo02 Jun
Kamala: Mgogoro Loliondo unashughulikiwa na Serikali
BALOZI wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk Diodorus Kamala ameliambia baraza la mabalozi wa nchi za kundi la Afrika, Caribbean na Pasifiki (ACP) kuwa Serikali ya Tanzania imeanza kuchukua hatua za kutatua mgogoro wa ardhi katika eneo la Loliondo.