Kamala: Mgogoro Loliondo unashughulikiwa na Serikali
BALOZI wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk Diodorus Kamala ameliambia baraza la mabalozi wa nchi za kundi la Afrika, Caribbean na Pasifiki (ACP) kuwa Serikali ya Tanzania imeanza kuchukua hatua za kutatua mgogoro wa ardhi katika eneo la Loliondo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Miaka 20 mgogoro wa ardhi Loliondo imetosha
Ni zaidi ya miaka 20 sasa imepita bila mgogoro wa ardhi katika eneo la Pori Tengefu la Loliondo Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.
10 years ago
MichuziNYALANDU ATINGA LOLIONDO KUJADILIANA NA MADIWANI KUHUSIANA NA MGOGORO WA ARDHI KATIKA MAENO HAYO
10 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA AANZISHA MFUKO WA "Dr. KAMALA AWARD FUND"
.jpg)
Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa na baadhi ya Wahitimu wa Kituo cha Chekechea cha Florence cha Kigogo Dar es salaam.
.jpg)
Balozi Kamala amewashukuru Bwana na Bibi Mbezi kwa kuanzisha kituo hicho. Aidha,...
11 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAZIRI WA UCHUMI NA BIASHARA WA SERIKALI YA BRUSSELS
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA WABELGIJI WANAOZUNGUMZA KIJERUMANI
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
KIONGOZI MKUU WA SERIKALI YA JIMBO LA FLANDERS LA UBELGIJI AKUTANA NA BALOZI KAMALA
.jpg)
10 years ago
MichuziBALOZI KAMALA AKUTANA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MISAADA NA MIKOPO YA FINEXPO YA SERIKALI YA UBELIGIJI
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Serikali yamaliza mgogoro Hifadhi ya Saadani
NA CHRISTOPHER LISSA
HATIMAYE serikali imeumaliza rasmi mgogoro wa ardhi uliodumu kwa kipindi kirefu baina ya Wizara ya Maliasiali na Utalii na Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, unaohusisha eneo Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
Aidha serikali imeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo , kukaa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) na wadau, kurejea mipaka ya zamani ya eneo hilo, ili kuepusha mgongano usio na tija.
Mgogoro huo uliibuka mwaka mwaka 2005, baada ya serikali kuipandisha...
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Mgogoro Manyoni, Sikonge umepatiwa ufumbuzi-Serikali
SERIKALI imesema mgogoro wa mpaka kati ya Wilaya ya Manyoni na Sikonge ulipatiwa ufumbuzi tangu mwaka 2010. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania