Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro Manyoni, Sikonge umepatiwa ufumbuzi-Serikali

SERIKALI imesema mgogoro wa mpaka kati ya Wilaya ya Manyoni na Sikonge ulipatiwa ufumbuzi tangu mwaka 2010. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Manyoni kuondoa ombaomba kandokando ya barabara kuu ya Dodoma-Manyoni

DSC07183

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Bi Fatma Hassani Toufiq katika moja ya shughuli za kujenga taifa mkoani Singida.(Picha na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly,Manyoni        

MAKAZI ya walemavu na wasiojiweza ya Sukamahela,wilayani Manyoni,Mkoani Singida yalianzishwa mwaka 1974 katika Kijiji cha Sukamahela,kata na tarafa ya Kilimatinde chini ya Idara ya Ustawi wa jamii kwa dhamana ya serikali.

Makazi hayo yaliyoanzishwa mwaka 1974 yalikuwa na walemavu 148 wakiwemo wanaume 57,wanawake  51,watoto wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yapeleka neema ya maji Manyoni, kutumia Bil moja na nusu

DSC09837

Picha juu na chini ni Naibu Waziri wa Maji, Mh. Amos Makala, akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kijiji cha Makale na Itagata jimbo la Manyoni magharibi.Makala alikuwa jimbo la Manyoni magharabi  kwenye ziara ya kikazi ya siku moja.Kushoto ni mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi, John Paulo Lwanji.

Na Nathaniel Limu, Manyoni

Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala (Mb), amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Manyoni  mkoa wa Singida na kutangaza neema ya maji baada ya kusema kuwa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yamaliza mgogoro Hifadhi ya Saadani


NA CHRISTOPHER LISSA
HATIMAYE serikali imeumaliza  rasmi mgogoro wa ardhi  uliodumu kwa kipindi kirefu  baina ya Wizara ya Maliasiali na Utalii  na Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, unaohusisha eneo Hifadhi ya  Taifa ya Saadani.
Aidha  serikali  imeiagiza Halmashauri  ya Wilaya ya Bagamoyo , kukaa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)  na wadau,  kurejea  mipaka ya zamani  ya eneo hilo, ili kuepusha mgongano usio na tija.
Mgogoro huo uliibuka mwaka  mwaka 2005,  baada ya serikali kuipandisha...

 

10 years ago

Habarileo

Kamala: Mgogoro Loliondo unashughulikiwa na Serikali

BALOZI wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk Diodorus Kamala ameliambia baraza la mabalozi wa nchi za kundi la Afrika, Caribbean na Pasifiki (ACP) kuwa Serikali ya Tanzania imeanza kuchukua hatua za kutatua mgogoro wa ardhi katika eneo la Loliondo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali haina taarifa mgogoro wa mpaka Pemba’

WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amesema serikali haijapata taarifa zozote kutoka Kenya kuhusu mgogoro wa mpaka kati ya nchi hiyo na Somalia...

 

10 years ago

Mwananchi

Minja: Serikali haiwezi kutatua mgogoro uliopo

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Johnson Minja amesema hakuna dalili zinazoonyesha kuwa mgogoro uliopo kati ya wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) utaweza kumalizwa na Serikali iliyopo madarakani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilufi: Serikali iingilie kati mgogoro Kapunga

MBUNGE wa Mbarali, Modestus Kilufi, ameiomba serikali kuingilia kati msimamo  wa mwekezaji wa Shirika la Kapunga kukaidi maamuzi ya kamati ya halmashauri ya ujenzi wa barabara. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri kuwepo mgogoro ranchi ya Kalambo

SERIKALI imekiri kuwepo kwa mgogoro kati ya wananchi wa Kijiji cha Katapulo na ranchi ya Kalambo, mkoani Rukwa. Hata hivyo, imesema iko katika mchakato wa kuhakikisha inamaliza migogoro hiyo hata...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAMALIZA MGOGORO NA WAFANYABIASHARA JUU YA MATUMIZI YA EFDs

Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum akiwa katika picha ya pamoja wafanyabiashara alipotoa Taarifa ya muafaka uliofikiwa kati ya wafanyabiashara na serikali juu ya Matumizi ya Mashine za kielektroniki (EFDs) leo Jijini Dar es Salaam, Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabishara Bw. Johnson Minja na Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mzee Benard Mchovu (Picha na Regnihaldah Mpete-TRA)
Na Anitha Jonas – MAELEZO.
Serikali yafikia muafaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani