Minja: Serikali haiwezi kutatua mgogoro uliopo
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Johnson Minja amesema hakuna dalili zinazoonyesha kuwa mgogoro uliopo kati ya wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) utaweza kumalizwa na Serikali iliyopo madarakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Wamtaka Tibaijuka kutatua mgogoro
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Kenya na TZ kutatua mgogoro wa kitalii
10 years ago
Habarileo18 Nov
CCT yaombwa kutatua mgogoro Moravian
UONGOZI wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini Magharibi umeamua kukutana na Kamati Teule ya Usuluhishi wa Migogoro ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) kuomba iingilie kati kufanya usuluhishi wa mgogoro unaoendelea kukabili kanisa hilo.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Sudan Kusini wasaini makubaliano 43 ya kutatua mgogoro wao
10 years ago
MichuziMAKONDA AKUTANA NA WANANCHI WA KAWE MZIMUNI KUTATUA MGOGORO WA ARDHI
10 years ago
VijimamboDC KINONDONI AKUTANA NA WANANCHI KAWE MZIMUNI KUTATUA MGOGORO WA ARDHI
10 years ago
StarTV04 Nov
TFF/ZFA Wakutana kujadili kutatua mgogoro wa kufuta kesi mahakamani.
Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limekutana na Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) kujadili mgogoro wa chama hicho baada ya baadhi ya wanachama kuwashtaki viongozi wa ZFA Mahakamani kwa madai ya ukiukaji wa katiba.
Kikao hicho kimefanyika Jijini Dar Es Salaam ikiwa na jitihada za TFF kutaka kutatua mgogoro huo ambapo hadi mwisho wa kikao, pande hizo zimekubaliana kufuta kesi hiyo mahakamani.
Soka la Zanzibar kwa sasa ni pasua kichwa.
Pasua kichwa hiyo inatokana Wazanzibar kupeleka soka lao katika...
10 years ago
Michuzi
NASSAR AANDALIWA SHEREHE JIMBONI KWAKE, NI BAADA YA KUTATUA MGOGORO WA MAJI



5 years ago
Michuzi
Waziri Bashungwa ahaidi kutatua mgogoro wa kiwanda cha Happy Sausages Arusha
Bashungwa, ametoa kauli hiyo leo alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda hicho huku akiongoza na mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.
Akizungumza kiwandani hapo Bashungwa amesema...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10