‘Serikali haina taarifa mgogoro wa mpaka Pemba’
WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amesema serikali haijapata taarifa zozote kutoka Kenya kuhusu mgogoro wa mpaka kati ya nchi hiyo na Somalia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Jul
Mgogoro wa mpaka wamalizika
MGOGORO wa mpaka kati ya wilaya ya Sikonge mkoani Tabora na Manyoni mkoani Singida uliodumu kwa zaidi ya miaka 30 hatimaye umemalizika kwa majadiliano na maridhiano baina ya pande zote mbili.
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Mgogoro wa mpaka Kenya na Somalia
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Mgogoro mpaka wa ardhi Ikorongo watua kwa Lukuvi
11 years ago
Michuzi20 Mar
MAZUNGUMZO YA USULUHISHI WA MGOGORO WA MPAKA BAINA YA TANZANIA NA MALAWI YAANZA LEO MJINI MAPUTO.
Mazungumzo hayo yaliyopo chini ya Jopo la Usuluhishi linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joachim Chissano akisaidiwa na Mhe. Thabo Mbeki Rais Mstaafu wa Afrika ya Kusini na Mhe. Festus Mogae Rais Mstaafu wa Botswana yaliwapa nafasi pande zote mbili kutoa tamko rasmi kabla ya usuluhishi...
11 years ago
MichuziMazungumzo ya usuluhishi wa mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa Yaanza leo mjini Maputo
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Serikali haina nia ya dhati na ‘Wamachinga’
MAMLAKA za miji nchini zimekuwa katika harakati za kusafisha miji, majiji na mitaa mbalimbali kwa lengo la kuboresha mandhari ya maeneo husika yaweze kuendana na hadhi zao. Waathirika wakubwa wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Aec7jUwpfUA/Vl2YbbI7mNI/AAAAAAAIJg4/8kONKsZtnic/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA KUHUSU UTATUZI WA MGOGORO WA WAKULIMA WA MIWA KILOMBERO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Aec7jUwpfUA/Vl2YbbI7mNI/AAAAAAAIJg4/8kONKsZtnic/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UTATUZI WA MGOGORO WA WAKULIMA WA MIWA KILOMBERO Bodi ya Sukari Tanzania imefuatilia na kubaini chanzo cha malalamiko ya wakulima wa miwa wanaozunguka Kiwanda cha Sukari cha Kilombelo (ILOVO).
Akizungumza katika taarifa yake, Mkurugenzi Mkuu Bodi ya Sukari Tanzania Bwana Henry Semwanza alisema kuwa, chanzo cha malalamiko yanatokana na kiwanda kuharibika bila kutarajia na kusimamisha uzalishaji kuanzia tarehe 14 hadi 18...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Serikali haina nia ya dhati katiba mpya
HIVI sasa taifa liko kwenye hofu ya kushindwa kupata katiba mpya, baada ya mchakato wake kuingia dosari kutokana na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge. Kitendo...