Mazungumzo ya usuluhishi wa mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa Yaanza leo mjini Maputo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe akiongea katika mkutano a Mazungumzo ya usuluhishi wa mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa yameanza leo Jijini Maputo, Msumbiji kwa kuzikutanisha pande zote mbili za mgogoro huo. Mazungumzo hayo yaliyopo chini ya Jopo la Usuluhishi linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joachim Chissano akisaidiwa na Mhe. Thabo Mbeki Rais Mstaafu wa Afrika ya Kusini na Mhe. Festus Mogae Rais Mstaafu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi20 Mar
MAZUNGUMZO YA USULUHISHI WA MGOGORO WA MPAKA BAINA YA TANZANIA NA MALAWI YAANZA LEO MJINI MAPUTO.
Mazungumzo hayo yaliyopo chini ya Jopo la Usuluhishi linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joachim Chissano akisaidiwa na Mhe. Thabo Mbeki Rais Mstaafu wa Afrika ya Kusini na Mhe. Festus Mogae Rais Mstaafu wa Botswana yaliwapa nafasi pande zote mbili kutoa tamko rasmi kabla ya usuluhishi...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Wananchi Malawi, Tanzania kuamua mpaka Ziwa Nyasa
MGOGORO wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi hautatuliwa kisheria, badala yake itakuwa kijamii kwa kuhoji wananchi wa pande husika. Mgogoro huo unahusu mpaka katika Ziwa Nyasa ambao sasa wananchi wa kila upande, watahojiwa juu ya madhara wanayodhani watapata kutokana na mpaka kuwa ndani ya ziwa hilo.
10 years ago
GPLSERIKALI ZA TANZANIA NA MALAWI ZASEMA HAZINA TOFAUTI JUU YA MPAKA WA ZIWA NYASA
10 years ago
Vijimambo10 Dec
Tanzania yasubiri majibu ya Chissano usuluhishi Ziwa Nyasa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (pichani), amesema, serikali inasubiri majibu kutoka kwa kiongozi wa jopo la usuluhishi wa mgogoro wa mpaka wa Ziwa Nyasa, Rais wa zamani wa Msumbiji, Joachim Chissano.
Chissano kupitia Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) ndiye anayeongoza jopo la marais wastaafu wa Sadc kusukluhisha mgogoro huo wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi.
Membe aliiambia...
11 years ago
MichuziMGOGORO WA ZIWA NYASA: WAKATI WENZETU MALAWI WAKIPAMBANA KWA TEKNOHAMA SISI WATANZANIA BADO TUNAPAMBANA KWA MANENO.
Google Map ni mtandao mkubwa ambo unaonyesha Ramani ya dunia nzima kwa kutumia picha ya satellite na watu wengi hususani watalii hutumia mtandao huu kabla ya kwenda mahali husika . Lakini mtandao huu huitaji watu kujaza taarifa zaidi kama kuonyesha mipaka ya...
11 years ago
Habarileo17 Dec
‘Suluhu mpaka Ziwa Nyasa bado’
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imebainisha kuwa hadi sasa jitihada za kusuluhisha mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi, hazijafanikiwa kutokana na ukweli kuwa katika gharama za usuluhishi, Malawi imelipia asilimia 6.6 wakati Tanzania ni asilimia 50.9.
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Malawi: Hakuna mjadala Ziwa Nyasa
Rais wa Malawi, Profesa Peter Mutharika
NA MWANDISHI WETU
RAIS wa Malawi, Profesa Peter Mutharika, kwa mara nyingine amesisitiza kuwa Ziwa Nyasa linamilikiwa na nchi yake.
Kutokana na hali hiyo, amesema katu uongozi wake hautarajii kukaa katika meza ya majadiliano na nchi jirani ya Tanzania kuzungumzia umiliki huo.
Mutharika alisema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juzi mjini Lilongwe kuhusu ziara yake ya hivi karibuni jijini Washington DC, Marekani ambako alikuwa akishiriki...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Rais wa Malawi ana msimamo mkali Ziwa Nyasa