Mgogoro wa mpaka Kenya na Somalia
Serikali ya Somalia leo hii itafungua rasmi kesi dhidi ya kenya katika Mahakama ya kimataifa (ICJ) kufuatia mgogoro wa mpaka baina ya nchi hizo mbili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Mpaka:Kenya itajitetea dhidi ya Somalia
10 years ago
Habarileo19 Jul
Mgogoro wa mpaka wamalizika
MGOGORO wa mpaka kati ya wilaya ya Sikonge mkoani Tabora na Manyoni mkoani Singida uliodumu kwa zaidi ya miaka 30 hatimaye umemalizika kwa majadiliano na maridhiano baina ya pande zote mbili.
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
‘Serikali haina taarifa mgogoro wa mpaka Pemba’
WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amesema serikali haijapata taarifa zozote kutoka Kenya kuhusu mgogoro wa mpaka kati ya nchi hiyo na Somalia...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Mgogoro mpaka wa ardhi Ikorongo watua kwa Lukuvi
11 years ago
Michuzi20 Mar
MAZUNGUMZO YA USULUHISHI WA MGOGORO WA MPAKA BAINA YA TANZANIA NA MALAWI YAANZA LEO MJINI MAPUTO.
Mazungumzo hayo yaliyopo chini ya Jopo la Usuluhishi linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joachim Chissano akisaidiwa na Mhe. Thabo Mbeki Rais Mstaafu wa Afrika ya Kusini na Mhe. Festus Mogae Rais Mstaafu wa Botswana yaliwapa nafasi pande zote mbili kutoa tamko rasmi kabla ya usuluhishi...
11 years ago
MichuziMazungumzo ya usuluhishi wa mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa Yaanza leo mjini Maputo
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Kenya na TZ kutatua mgogoro wa kitalii