Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro wa mpaka Kenya na Somalia

Serikali ya Somalia leo hii itafungua rasmi kesi dhidi ya kenya katika Mahakama ya kimataifa (ICJ) kufuatia mgogoro wa mpaka baina ya nchi hizo mbili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mpaka:Kenya itajitetea dhidi ya Somalia

Mkuu wa Sheria wa Kenya amesema kuwa nchi hiyo iko tayari kujitetea mahakamani dhidi Somalia katika mzozo wa mpakani

 

10 years ago

Habarileo

Mgogoro wa mpaka wamalizika

MGOGORO wa mpaka kati ya wilaya ya Sikonge mkoani Tabora na Manyoni mkoani Singida uliodumu kwa zaidi ya miaka 30 hatimaye umemalizika kwa majadiliano na maridhiano baina ya pande zote mbili.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali haina taarifa mgogoro wa mpaka Pemba’

WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amesema serikali haijapata taarifa zozote kutoka Kenya kuhusu mgogoro wa mpaka kati ya nchi hiyo na Somalia...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro mpaka wa ardhi Ikorongo watua kwa Lukuvi

Waathirika wa mgogoro wa mpaka kati ya Kijiji cha Park Nyigoti na Pori la Akiba la Ikorongo wilayani Serengeti Mkoa wa Mara, uliodumu kwa zaidi ya miaka kumi, wamemuomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kuutatua.

 

11 years ago

Michuzi

MAZUNGUMZO YA USULUHISHI WA MGOGORO WA MPAKA BAINA YA TANZANIA NA MALAWI YAANZA LEO MJINI MAPUTO.

Mazungumzo ya usuluhishi wa mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa yameanza leo Jijini Maputo, Msumbiji kwa kuzikutanisha pande zote mbili za mgogoro huo. 
Mazungumzo hayo yaliyopo chini ya Jopo la Usuluhishi linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joachim Chissano akisaidiwa na Mhe. Thabo Mbeki Rais Mstaafu wa Afrika ya Kusini na Mhe. Festus Mogae Rais Mstaafu wa Botswana yaliwapa nafasi pande zote mbili kutoa tamko rasmi kabla ya usuluhishi...

 

11 years ago

Michuzi

Mazungumzo ya usuluhishi wa mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa Yaanza leo mjini Maputo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe akiongea katika mkutano a Mazungumzo ya usuluhishi wa mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa yameanza leo Jijini Maputo, Msumbiji kwa kuzikutanisha pande zote mbili za mgogoro huo.  Mazungumzo hayo yaliyopo chini ya Jopo la Usuluhishi linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joachim Chissano akisaidiwa na Mhe. Thabo Mbeki Rais Mstaafu wa Afrika ya Kusini na Mhe. Festus Mogae Rais Mstaafu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya na TZ kutatua mgogoro wa kitalii

serikali za Tanzania na Kenya zitakutana mjini Arusha kutafuta suluhu ya mzozo kuhusu marufuku ya magari ya kitalii kutoka TZ.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani