Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpaka:Kenya itajitetea dhidi ya Somalia

Mkuu wa Sheria wa Kenya amesema kuwa nchi hiyo iko tayari kujitetea mahakamani dhidi Somalia katika mzozo wa mpakani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mgogoro wa mpaka Kenya na Somalia

Serikali ya Somalia leo hii itafungua rasmi kesi dhidi ya kenya katika Mahakama ya kimataifa (ICJ) kufuatia mgogoro wa mpaka baina ya nchi hizo mbili.

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.

"Uzalendo kwanza" Shabiki wa timu ya Taifa Stars akishangilia  Mshambliaji wa Timu ya Taifa Stars,Thomas Ulimwengu akijaribu kumtoka Beki wa Timu ya Benin wakati wa Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas inaongoza bao 3-0 mpaka sasa. Kiungo Mshambuliaji wa Taifa Stars,Amri Kiemba akiipatia timu yake bao la pili katika Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Kenya kusalia Somalia

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekariri kuwa wanajeshi wa Kenya watasalia nchini Somalia, kupambana na wapiganaji wa Kiislamu wa Al Shabaab

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Somalia wanunia Kenya

Maafisa wa Somalia wamekataa kukutana na maafisa wa Kenya kujadili mkataba uliofikiwa mwaka jana kuhusu kuwarejesha kwao wakimbizi wasomali wanaoishi nchini humo.

 

9 years ago

BBC

US reopens Somalia mission in Kenya

The US reopens its mission to Somalia in Kenya, the latest step in restoring diplomatic ties since it withdrew from the country two decades ago.

 

11 years ago

BBC

Kenya detains diplomat from Somalia

A Somali diplomat detained in Kenya is being denied immunity amid a security crackdown in Nairobi, Somalia's ambassador to Kenya tells the BBC.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Kenya latuhumiwa Somalia

Jeshi la Kenya limetuhumiwa kujihusisha na biashara haramu, badala ya kufanya kazi zinazowahusu nchini Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN

Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia:UN yaijibu Kenya

UN inasema haijapokea amri rasmi kutoka kwa serikali ya Kenya ya kuitaka ifunge kambi ya wakimbizi wa Somalia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani