SERIKALI YAMALIZA MGOGORO NA WAFANYABIASHARA JUU YA MATUMIZI YA EFDs
![](http://3.bp.blogspot.com/-DM3NPBV3nXk/VW3GnDT5yPI/AAAAAAAHbZg/NMth2RY9_p4/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum akiwa katika picha ya pamoja wafanyabiashara alipotoa Taarifa ya muafaka uliofikiwa kati ya wafanyabiashara na serikali juu ya Matumizi ya Mashine za kielektroniki (EFDs) leo Jijini Dar es Salaam, Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabishara Bw. Johnson Minja na Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mzee Benard Mchovu (Picha na Regnihaldah Mpete-TRA)
Na Anitha Jonas – MAELEZO.
Serikali yafikia muafaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Serikali yamaliza mgogoro Hifadhi ya Saadani
NA CHRISTOPHER LISSA
HATIMAYE serikali imeumaliza rasmi mgogoro wa ardhi uliodumu kwa kipindi kirefu baina ya Wizara ya Maliasiali na Utalii na Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, unaohusisha eneo Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
Aidha serikali imeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo , kukaa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) na wadau, kurejea mipaka ya zamani ya eneo hilo, ili kuepusha mgongano usio na tija.
Mgogoro huo uliibuka mwaka mwaka 2005, baada ya serikali kuipandisha...
9 years ago
Michuzi23 Dec
Serikali yamaliza mgogoro wa timu ya soka ya Shinyanga Stand United
![un2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/un2.jpg)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na hatua zilizofikia katika kutatiua mgogoro baina ya Timu ya Stand Unite ya mjini Shinyanga na kamati ya uendeshaji ya timu hiyo iliyopo chini ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo jijini Dar es Salaam.Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,WHUSM.
![un1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/un1.jpg)
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Emslies yamaliza mgogoro na Ravji
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Wafanyabiashara wazikubali EFDs
JUMUIYA ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), imekubali kutumia mashine za elektroniki (EFDs), huku wakiomba serikali kurekebisha changamoto ambazo ni muhimu. Akizungumza wakati wa kufunga mkutano wa siku tatu wa viongozi wa...
11 years ago
Michuzi14 Feb
TRA YAWATAKA WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA YAO NA KUACHA KUENDELEA KUGOMEA MASHINE ZA EFDS
![DSCF2699](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/fP6Nvu4doNvksvn8R6TfVg2KxvZ1hjRuubH0OaLbZAfs0UKpk4iTdpYgbV3_jtKMaSPEi3ipY9eQd-jbC9vod-S2nXmSVd-I-beBpcHIUJz8nXuEjr6S5aP9Fc_1YQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2699.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2695](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/9wXJMgcTT1gL2Dh9Q64z5LzpX8xPKjhMLT21mzOU13J3oI9GzaOrAN5zbGIDnMb7J6q7HMXYr2VkgDo0DF1KtNid4OVOc0VLoJKe_vtoW6dI-DItEAui1XIZFAldpw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2695.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2697](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/wofDhjDluKornfCBlzzW9uqlD7Hnf809mhcZNXo69GmfPeDHnqTWaMk6qvuPZqwM-HTbl9vqSKadKzzcUsk9lEyydcO-RhbVBIzK8l4-bfq6nqvwQTd2i5WHT6aXnw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2697.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2713](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/xFfK6G9Fisk13uJDlxE6qQ7tFz2zsqS-nT_yI2BznCXMOjnD6bfeeKPPymc7FEK5k05F0OjNc9vszEpcM0UqSRPD97xGJ3K0Lt_pTxhzijuRya1e_m_IxzfJQRqDZQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2713.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2700](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/YjQ5X6jvCRJUnJBlzyiWVgO_fthElxH0R980xoYTA8_yyLm8xyWizczd-qFOpDDmjkvq_Z6lWMTX508SCnTrNxJ71DkS0S1Tpc4Zdk2Eu_CjcjfSTZPR2RK_viydWA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2700.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2706](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Iiss-_jgQlgCR_W1sUPVe4AV_put2_zLgy86WdpXNTqKMnwh2tUA813PHoMN3cUuFT9uMU5XYJut0pMAxC2e8dk_nRQX0jVlzCSBTjYgdHoXgS7lX-Mv_7agy5WMEA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2706.jpg?w=627&h=470)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GxX3dJrXkhk/XkueFOJCOXI/AAAAAAALd2Q/PNdo-Zug3YgEYizcgHbJwUQyF0BEShefgCLcBGAsYHQ/s72-c/5-3-1.jpg)
SERIKALI YATOA ELIMU KWA WACHIMBAJI WA DHAHABU JUU YA MADHARA YA MATUMIZI YA ZEBAKI ILI KULINDA AFYA ZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GxX3dJrXkhk/XkueFOJCOXI/AAAAAAALd2Q/PNdo-Zug3YgEYizcgHbJwUQyF0BEShefgCLcBGAsYHQ/s640/5-3-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-3-1.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Aug
Serikali kupambana na wasiotumia EFDs
IMEELEZWA kuwa serikali haitamfumbia macho mfanyabiashara ambaye anakwepa kununua mashine za kutoa risiti za kielektroniki (EFDs) ili kutunza kumbukumbu za mauzo. Mashine hizo pia zinasaidia namna ya kupata mapato yaliyo sahihi kwa wale wanaolipa bila kuumia na kurahisisha kufanya makadirio ya kodi kwa vile taarifa zote atakuwa nazo katika mashine yake.
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Mgogoro wa wafanyabiashara usiingizwe siasa
10 years ago
Habarileo04 Apr
Pinda aombwa kumaliza mgogoro wa wafanyabiashara
SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua za haraka kuzuia migogoro ya jumuiya ya wafanyabiashara nchini kwa kuwa imekuwa chanzo kikubwa cha kuporomoka kwa uchumi wa nchi.