Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Emslies yamaliza mgogoro na Ravji

Kampuni ya Emslies Limited ya mjini Moshi imeilipa kampuni ya Ravji Construction Ltd (RCL), Sh417.9 milioni na kumaliza mvutano uliodumu kwa miaka minne.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yamaliza mgogoro Hifadhi ya Saadani


NA CHRISTOPHER LISSA
HATIMAYE serikali imeumaliza  rasmi mgogoro wa ardhi  uliodumu kwa kipindi kirefu  baina ya Wizara ya Maliasiali na Utalii  na Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, unaohusisha eneo Hifadhi ya  Taifa ya Saadani.
Aidha  serikali  imeiagiza Halmashauri  ya Wilaya ya Bagamoyo , kukaa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)  na wadau,  kurejea  mipaka ya zamani  ya eneo hilo, ili kuepusha mgongano usio na tija.
Mgogoro huo uliibuka mwaka  mwaka 2005,  baada ya serikali kuipandisha...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAMALIZA MGOGORO NA WAFANYABIASHARA JUU YA MATUMIZI YA EFDs

Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum akiwa katika picha ya pamoja wafanyabiashara alipotoa Taarifa ya muafaka uliofikiwa kati ya wafanyabiashara na serikali juu ya Matumizi ya Mashine za kielektroniki (EFDs) leo Jijini Dar es Salaam, Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabishara Bw. Johnson Minja na Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mzee Benard Mchovu (Picha na Regnihaldah Mpete-TRA)
Na Anitha Jonas – MAELEZO.
Serikali yafikia muafaka...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yamaliza mgogoro wa timu ya soka ya Shinyanga Stand United

un2
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na hatua zilizofikia katika kutatiua mgogoro baina ya Timu ya Stand Unite ya mjini Shinyanga na kamati ya uendeshaji ya timu hiyo iliyopo chini ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo jijini Dar es Salaam.Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,WHUSM.un1Baadhi ya wajumbe wa kamati ya utendaji ya timu ya Stand United ya mjini Shinyanga wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Habaroi,...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yamaliza uteja

YANGA imezidi kujikita kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0, mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinapa yamaliza migogoro Longido

MIGOGORO ya wafugaji na wakulima katika Tarafa ya Enduimeti, Wilaya ya Longido, mkoani Arusha imedhibitiwa baada ya Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa), kutoa elimu kwa makundi hayo ikiwamo...

 

9 years ago

Michuzi

STARS YAMALIZA KAMBI UTURUKI

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro chini ya Kocha wake Mkuu Charles Boniface Mkwasa imefanya mazoezi yake ya mwisho leo asubuhi katika viwanja vya hoteli ya Green Park Kartepe – Kocaeli nchini Uturuki.Taifa Stars ambayo imeweka kambi nchini Uturuki kwa takribani wiki moja, inajiwinda na mchezo wake dhidi ya Nigeria siku ya Jumamosi Septemba 5, 2015 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kuwania kufuzu kwa fainali za Mataifa Afrika mwaka...

 

9 years ago

Mwananchi

UN-ICTR yamaliza kazi nchini

Arusha. Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) imefunga shughuli zake nchini huku ikiiachia kazi Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (MICT) cha upatikanaji, ukamataji na usikilizwaji wa kesi ya watuhumiwa tisa wa mauaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Msumbiji yamaliza mabomu ya ardhini

Msumbiji imefanikiwa kuondoa mabomu yote ya ardhini yaliyotegwa nchini humo baada ya juhudi zilizohusisha kutumiwa kwa panya.

 

11 years ago

GPL

RAMADHANI YAMALIZA BIFU LA WEMA, PENNY!

Stori: Waandishi Wetu STAA wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu amesema baada ya kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu na mtangazaji maarufu Bongo, Peniel Mungilwa ‘Penny’, sasa ameamua kumsamehe rasmi kwa heshima ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Staa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Wema alisema: “Kwa moyo mweupe, nasema nimemsamehe Penny, hata nikikutana naye popote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani