Emslies yamaliza mgogoro na Ravji
Kampuni ya Emslies Limited ya mjini Moshi imeilipa kampuni ya Ravji Construction Ltd (RCL), Sh417.9 milioni na kumaliza mvutano uliodumu kwa miaka minne.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Serikali yamaliza mgogoro Hifadhi ya Saadani
NA CHRISTOPHER LISSA
HATIMAYE serikali imeumaliza rasmi mgogoro wa ardhi uliodumu kwa kipindi kirefu baina ya Wizara ya Maliasiali na Utalii na Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, unaohusisha eneo Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
Aidha serikali imeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo , kukaa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) na wadau, kurejea mipaka ya zamani ya eneo hilo, ili kuepusha mgongano usio na tija.
Mgogoro huo uliibuka mwaka mwaka 2005, baada ya serikali kuipandisha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DM3NPBV3nXk/VW3GnDT5yPI/AAAAAAAHbZg/NMth2RY9_p4/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
SERIKALI YAMALIZA MGOGORO NA WAFANYABIASHARA JUU YA MATUMIZI YA EFDs
![](http://3.bp.blogspot.com/-DM3NPBV3nXk/VW3GnDT5yPI/AAAAAAAHbZg/NMth2RY9_p4/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
Na Anitha Jonas – MAELEZO.
Serikali yafikia muafaka...
9 years ago
Michuzi23 Dec
Serikali yamaliza mgogoro wa timu ya soka ya Shinyanga Stand United
![un2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/un2.jpg)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na hatua zilizofikia katika kutatiua mgogoro baina ya Timu ya Stand Unite ya mjini Shinyanga na kamati ya uendeshaji ya timu hiyo iliyopo chini ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo jijini Dar es Salaam.Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,WHUSM.
![un1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/un1.jpg)
9 years ago
Habarileo01 Oct
Yanga yamaliza uteja
YANGA imezidi kujikita kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0, mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini hapa.
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Kinapa yamaliza migogoro Longido
MIGOGORO ya wafugaji na wakulima katika Tarafa ya Enduimeti, Wilaya ya Longido, mkoani Arusha imedhibitiwa baada ya Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa), kutoa elimu kwa makundi hayo ikiwamo...
9 years ago
Michuzi31 Aug
STARS YAMALIZA KAMBI UTURUKI
![](http://tff.or.tz/images/jumaA.png)
![](http://tff.or.tz/images/starskartepe.png)
9 years ago
Mwananchi04 Dec
UN-ICTR yamaliza kazi nchini
9 years ago
BBCSwahili17 Sep
Msumbiji yamaliza mabomu ya ardhini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkw9j-f9sOL44DBrLLrjkZUDQaVt7VAyZ*1G9sc89rc98cD1lMMHOYC1QLBnVh9r9j069daIJlZuABAfF89qLUnY/pennywema.jpg)
RAMADHANI YAMALIZA BIFU LA WEMA, PENNY!