UN-ICTR yamaliza kazi nchini
Arusha. Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) imefunga shughuli zake nchini huku ikiiachia kazi Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (MICT) cha upatikanaji, ukamataji na usikilizwaji wa kesi ya watuhumiwa tisa wa mauaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a3LxOokUORc/VmKaqZWALzI/AAAAAAAIKSY/gT9FkKrJZPo/s72-c/0fea2a57-74eb-4235-92b8-d88cfaab8820.jpg)
UN-ICTR Yamaliza Kazi yake Arusha, mpiganaji Danford Mpumilwa ashukuru kuhitimisha ngwe yake salama na kwa ufanisi
9 years ago
Habarileo07 Dec
UN –ICTR yashitakiwa Mahakama ya Kazi
WALIOKUWA wafanyakazi wa Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN –ICTR) ambayo imemaliza kazi zake hapa wameishtaki Mahakama hiyo kwenye Mahakama ya Kazi wakidai kutolipwa stahiki zao.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FnlHNtHb95M/VOvdyk3FXII/AAAAAAAHFgs/SCtqGm_lILU/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
UN-ICTR Yatoa Msaada wa Vifaa vya kazi kwa Mahakama Kuu ya Tanzania
10 years ago
Habarileo08 Apr
Raia 11 walioshtakiwa ICTR walowea nchini
RAIA 11 waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) ya mjini Arusha, wamelowea na kuendelea kuishi nchini, kwa kile kinachoelezwa kuwa ni hofu ya kushindwa kurudi kwao, kwa sababu za kiusalama.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vpPiwp-M3bE/VXOLK4LB4RI/AAAAAAAHcqA/HcVrRsvUGPI/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
MCC, Makampuni 10 ya Kimarekani yamaliza ziara ya kuangalia fursa za biashara na uwekezaji nchini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-vpPiwp-M3bE/VXOLK4LB4RI/AAAAAAAHcqA/HcVrRsvUGPI/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Nov
Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Maiuaji ya Kimbari nchini Rwanda (UN-ICTR) Yaadhimisha Miaka 20
![](https://2.bp.blogspot.com/-WpT3vYafmR0/VGUM7R6dcHI/AAAAAAAGxCU/IpOil7re9G8/s640/unnamed%2B(37).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcKvSG3Ilte4JmnLdlWueG0OReBv2ULhrS0hFku9s3SxJilAy*5nA65n-yuwpTIZ*5qgDiRZCK4PQqCey1Yl8JZK/KAMATIYAMAADILI.png)
UPDATES KUTOKA DODOMA: KAMATI YA MAADILI YAMALIZA KAZI YAKE, SASA KINAFUATA KIKAO CHA KAMATI KUU (CC)
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...
5 years ago
Bongo514 Feb
Rais Magufuli aamuru madaktari 258 walioomba kufanya kazi nchini Kenya waajiriwe nchini mara 1
Mnamo tarehe 18 Machi 2017 Ujumbe wa Serikali ya Kenya ukiongozwa na Waziri wa Afya Dkt. Cleopa Mailu uliwasili nchini ambapo ulikutana na Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dhumuni la mkutano huo ulikua kuomba kuajiri, kwa Mkataba, Madaktari wa Tanzania mia tano (500), ili kupunguza uhaba wa Madaktari nchini Kenya.
Mheshimiwa Rais JPM, alikubali ombi hilo.
Mnamo tarehe 18 Machi, 2017, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na...