MCC, Makampuni 10 ya Kimarekani yamaliza ziara ya kuangalia fursa za biashara na uwekezaji nchini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-vpPiwp-M3bE/VXOLK4LB4RI/AAAAAAAHcqA/HcVrRsvUGPI/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
Makamu wa Rais wa Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) Kamran Khan ( wa pili kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano kati ya Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda (katikati) na wawakilishi wa makampuni 10 ya Kimarekani, walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Bw. Khan aliongoza ziara ya wawakilishi hao wa makampuni ya kimarekani, Wizara ya Biashara ya Marekani na MCC ili kuangalia fursa za uwekezaji katika sekta ya nishati nchini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBALOZI KAMALA ABAINISHA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI ZINAZIPATIKANA TANZANIA
10 years ago
GPLBALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA AFANYA ZIARA MKOANI KAGERA KUKAGUA ENEO LA KUJENGA CHUO CHA KISASA CHA UFUNDI (VETA) NA KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MKOA
Balozi wa China nchini Tanzania,LU Youqing akicheza ngoma ya asili ya Mkoa wa Kagera wakati alipokuwa akilakiwa kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, John Mongella.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, John Mongella akimkabidhi Balozi wa China nchini Tanzania,LU Youqing Hati na ramani eneo lililotengwa na serikali ya mkoa kwa ajili ya kujenga chuo cha Ufundi (VETA) cha Kitaifa kilichoahidiwa na serikali ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-C8pYF2VRqwI/UvzJ64pjdRI/AAAAAAAFM7E/nX1kouqxe70/s72-c/unnamed+(10).jpg)
UONGOZI PSPF WATUA MWANZA KUANGALIA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUHAMASISHA UMMA KUJIUNGA NA MFUKO HUO
![](http://2.bp.blogspot.com/-C8pYF2VRqwI/UvzJ64pjdRI/AAAAAAAFM7E/nX1kouqxe70/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
Michuzi01 Nov
SEMINA YA FURSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sS9ZZTusDEg/XmM4hiiLinI/AAAAAAALhrM/YVkVHkyT35sm3R5wB2N012XSmFf-XUjFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-06%2Bat%2B14.06.49.jpeg)
Ubalozi wa Tanzania nchini India washirikiana na “Air Tanzania†kufanikisha Kongamano la Biashara na Uwekezaji Jijini Mumbai
![](https://1.bp.blogspot.com/-sS9ZZTusDEg/XmM4hiiLinI/AAAAAAALhrM/YVkVHkyT35sm3R5wB2N012XSmFf-XUjFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-06%2Bat%2B14.06.49.jpeg)
Pamoja na mambo mengine kongamano hilo lililenga...
10 years ago
MichuziKUNDI LA WAMAREKANI WAJA NCHINI KUTIZAMA FURSA ZA UWEKEZAJI
9 years ago
MichuziWADAU WA MAENDELEO YA VIWANDA WATANGAZA VYEMA FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI
10 years ago
MichuziBARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA
5 years ago
MichuziDKT. MPANGO: USHIRIKIANO WA TANZANIA NA SWEDEN USAIDIE BIASHARA NA UWEKEZAJI
Na. Josephine Majura na Peter Haule, WFM, Dodoma
Serikali imesema kuwa Ushirikiano mpya kati ya Tanzania na Sweden unatakiwa kujikita katika biashara na Uwekezaji kuliko ushirikiano wa misaada pekee ili kuisaidia Tanzania kuwa na uchumi endelevu na shirikishi kwa manufaa ya wananchi wa nchi hizo.
Hayo yamesemwa jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Bw. Anders Sjoberg.
Dkt. Mpango alisema kuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania