UONGOZI PSPF WATUA MWANZA KUANGALIA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUHAMASISHA UMMA KUJIUNGA NA MFUKO HUO
![](http://2.bp.blogspot.com/-C8pYF2VRqwI/UvzJ64pjdRI/AAAAAAAFM7E/nX1kouqxe70/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Bw. Evarist Ndikilo (Kushoto) akijadiliana jambo na ujumbe kutoka mfuko wa Pensheni wa PSPF wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko huo, Bw. Adam Mayingu (kulia), lengo la ziara hiyo ni kukutana na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji na na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na baadaye.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j3FD7gyM7ZI/VFswQMPB3QI/AAAAAAAGvs8/4r8BWo28sBU/s72-c/23.jpg)
NHIF KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO HUO KATIKA HALMASHAURI 54 NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-j3FD7gyM7ZI/VFswQMPB3QI/AAAAAAAGvs8/4r8BWo28sBU/s1600/23.jpg)
10 years ago
GPL![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/RVdzUcpnPNvf7Lm47Bo8sfuIVrAcyGvd7lly4MjCB9EQzE2MTAsAPEawrqHQXvVidPjfKQ-wYgYr0zJ78NGeWRDn_fuL0xyJ8MykTr3TlDpfhSVBy-y9=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/112.jpg)
NIHF KUFANYA KAMPENI YA SIKU 60 KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO HUO WA BIMA YA AFYA
Kaimu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Beatus Chijumba akizungumza na waandishi wa habari leo kwenye makao makuu ya shirika hilo wakati alipotangaza kampeni ya siku 60 kwa ajili ya kuhamasisha wananchi kujiuga na Mfuko wa Bima ya Afya katika Halmashauri zipatazo 54 nchini Katikati ni Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti na mwisho ni Ali Othman Mkuu wa...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-LHPZ7-a_r_8/VV2ZGspLtFI/AAAAAAAAbAM/WYTzcvCs1QQ/s640/PIC3%2Bc.jpg)
BALOZI WA PSPF FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI JIJINI MWANZA
 Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza…
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-neur_SVAT5I/VdMaRqOW-vI/AAAAAAAAX2s/dEa2vCOX2Oc/s72-c/umbrella.jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, TPB KWA KUSHIRIKIANA NA PROPERTY INTERNATIONAL LIMITED WAZINDUA MPANGO WA KUWAKOPESHA VIWANJA WANACHAMA WA MFUKO HUO
![](http://4.bp.blogspot.com/-neur_SVAT5I/VdMaRqOW-vI/AAAAAAAAX2s/dEa2vCOX2Oc/s640/umbrella.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LHPZ7-a_r_8/VV2ZGspLtFI/AAAAAAAAbAM/WYTzcvCs1QQ/s72-c/PIC3%2Bc.jpg)
FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-LHPZ7-a_r_8/VV2ZGspLtFI/AAAAAAAAbAM/WYTzcvCs1QQ/s640/PIC3%2Bc.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D8xi4V6BqwI/VV2ZCzkua0I/AAAAAAAAbAE/ahNmZXQRKI4/s640/PIC1%2Ba.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4pmGQ8A0Frc/VV2ZLaOmAEI/AAAAAAAAbAU/6BW2u-i8bUU/s640/PIC4%2Bd.jpg)
10 years ago
VijimamboWizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania.
Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue naye alikuwepo katika ujumbe huo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Mkuu wa mambo ya uchumi wa Mfuko wa changamoto za milenia. Wakiwa pamoja na Kamishna wa Fedha za Nje Bw. Saidi Ngosha Magonya.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue. Wakishuhudiwa na Bw. Abbas Abeid Missana...
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI KUTOKA CLOUDS MEDIA GROUP WALIPATA FURSA YA KUTEMBEA MAKAO MAKUU YA MFUKO WA PENSHENI YA PSPF NA KUJIONEA WENYEWE UBORA WA HUDUMA NA BIDHAA ZA MFUKO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vpPiwp-M3bE/VXOLK4LB4RI/AAAAAAAHcqA/HcVrRsvUGPI/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
MCC, Makampuni 10 ya Kimarekani yamaliza ziara ya kuangalia fursa za biashara na uwekezaji nchini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-vpPiwp-M3bE/VXOLK4LB4RI/AAAAAAAHcqA/HcVrRsvUGPI/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania