Serikali yamaliza mgogoro wa timu ya soka ya Shinyanga Stand United
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na hatua zilizofikia katika kutatiua mgogoro baina ya Timu ya Stand Unite ya mjini Shinyanga na kamati ya uendeshaji ya timu hiyo iliyopo chini ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo jijini Dar es Salaam.Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,WHUSM.Baadhi ya wajumbe wa kamati ya utendaji ya timu ya Stand United ya mjini Shinyanga wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Habaroi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Serikali yamaliza mgogoro Hifadhi ya Saadani
NA CHRISTOPHER LISSA
HATIMAYE serikali imeumaliza rasmi mgogoro wa ardhi uliodumu kwa kipindi kirefu baina ya Wizara ya Maliasiali na Utalii na Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, unaohusisha eneo Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
Aidha serikali imeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo , kukaa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) na wadau, kurejea mipaka ya zamani ya eneo hilo, ili kuepusha mgongano usio na tija.
Mgogoro huo uliibuka mwaka mwaka 2005, baada ya serikali kuipandisha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DM3NPBV3nXk/VW3GnDT5yPI/AAAAAAAHbZg/NMth2RY9_p4/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
SERIKALI YAMALIZA MGOGORO NA WAFANYABIASHARA JUU YA MATUMIZI YA EFDs
![](http://3.bp.blogspot.com/-DM3NPBV3nXk/VW3GnDT5yPI/AAAAAAAHbZg/NMth2RY9_p4/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
Na Anitha Jonas – MAELEZO.
Serikali yafikia muafaka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-foEcjnO3Xsc/VV_UV5rgyxI/AAAAAAAHZSA/Ts9BySp87UM/s72-c/standdd1.jpg)
TAARIFA KUTOKA STAND UNITED, SHINYANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-foEcjnO3Xsc/VV_UV5rgyxI/AAAAAAAHZSA/Ts9BySp87UM/s640/standdd1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2nA5zGlSVUI/VEwAaWYqKdI/AAAAAAAASs8/J69n3iwsDO4/s72-c/IMG-20141025-WA088(1).jpg)
MBWEMBWE ZA TIMU YA STAND UNITED
![](http://3.bp.blogspot.com/-2nA5zGlSVUI/VEwAaWYqKdI/AAAAAAAASs8/J69n3iwsDO4/s1600/IMG-20141025-WA088(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-grekR2KslKU/VZ1kIQKT8NI/AAAAAAAAVyc/oU5ajElovUc/s72-c/_DSC0638.jpg)
ACACIA YATANGAZA UDHAMINI MNONO KWA STAND UNITED YA SHINYANGA, NI WA MIAKA MIWILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-grekR2KslKU/VZ1kIQKT8NI/AAAAAAAAVyc/oU5ajElovUc/s640/_DSC0638.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sQOoWBAxoPo/VF5gfjTRarI/AAAAAAABHck/vnRA-CddtdU/s72-c/Shinyanga%2B2014%2B(12).jpg)
MBEYA CITY YAENDELEA KULA KISAGO YAVHAPWA 1-0 NA STAND UNITED UWANJA WA CCM KAMBARAGE, SHINYANGA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-eoV8fr-uKhc%2FVF5gZc0xFHI%2FAAAAAAABHcc%2FboHcuOFPgy8%2Fs1600%2FShinyanga%252B2014%252B(10).jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sQOoWBAxoPo/VF5gfjTRarI/AAAAAAABHck/vnRA-CddtdU/s640/Shinyanga%2B2014%2B(12).jpg)
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Emslies yamaliza mgogoro na Ravji
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Mbwembwe za Stand United
Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Nonga aikosakosa Stand United
Paul Nonga
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KAMA zari kwa Stand United, kwani yule mbaya wao Paul Nonga aliyesajiliwa na Yanga hatokuwepo katika mchezo wa leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Nonga amesajiliwa na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh milioni 40, lakini ameuomba ruhusa uongozi wa timu yake mpya akamalize mambo yake kisha ajiunge rasmi na timu hiyo.
Katika mchezo wake wa mwisho akiichezea Mwadui FC, Nonga alifunga bao moja lililoiwezesha timu hiyo...