MBEYA CITY YAENDELEA KULA KISAGO YAVHAPWA 1-0 NA STAND UNITED UWANJA WA CCM KAMBARAGE, SHINYANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sQOoWBAxoPo/VF5gfjTRarI/AAAAAAABHck/vnRA-CddtdU/s72-c/Shinyanga%2B2014%2B(12).jpg)
Kwa mara ya kwanza ikicheza nyumbani Stand United hii leo imeonja utamu wa ligi kuu soka Tanzania bara mara baada ya kupata ushindi wake wa kwanza ndani ya ligi hiyo kwa kuifunga Mbeya City 1-0 mchezo ukichezwa dimba la CCM Kambarage mjini Shinyanga.
Mashabiki wa Mbeya City walikuwa na mbwembwe kiasi cha kuliweka kiganjani dimba hilo nao mashabiki wa Stand wakiwa kama wamenyeshewa mvua kwa muda wa takribani dakika 45 za kipindi cha kwanza na dakika kama 15 za kipindi cha pili lakini mambo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-foEcjnO3Xsc/VV_UV5rgyxI/AAAAAAAHZSA/Ts9BySp87UM/s72-c/standdd1.jpg)
TAARIFA KUTOKA STAND UNITED, SHINYANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-foEcjnO3Xsc/VV_UV5rgyxI/AAAAAAAHZSA/Ts9BySp87UM/s640/standdd1.jpg)
9 years ago
Michuzi23 Dec
Serikali yamaliza mgogoro wa timu ya soka ya Shinyanga Stand United
![un2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/un2.jpg)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na hatua zilizofikia katika kutatiua mgogoro baina ya Timu ya Stand Unite ya mjini Shinyanga na kamati ya uendeshaji ya timu hiyo iliyopo chini ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo jijini Dar es Salaam.Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,WHUSM.
![un1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/un1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-grekR2KslKU/VZ1kIQKT8NI/AAAAAAAAVyc/oU5ajElovUc/s72-c/_DSC0638.jpg)
ACACIA YATANGAZA UDHAMINI MNONO KWA STAND UNITED YA SHINYANGA, NI WA MIAKA MIWILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-grekR2KslKU/VZ1kIQKT8NI/AAAAAAAAVyc/oU5ajElovUc/s640/_DSC0638.jpg)
11 years ago
Michuzi11 Feb
MBEYA CITY NA MTIBWA ZAINGIZA MILIONI 25.6 uwanja wa sokoine, mbeya
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Simba SC, Mbeya City vita mpya Uwanja wa Taifa leo
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FUQHokRz_0A/VSp8a54ONpI/AAAAAAAHQqs/qKsElTk7mnQ/s72-c/MMGL0007.jpg)
YANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3 - 1 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-FUQHokRz_0A/VSp8a54ONpI/AAAAAAAHQqs/qKsElTk7mnQ/s1600/MMGL0007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nafz-CBBzlI/VSp8pguCB9I/AAAAAAAHQq0/zC6U5Se41Cg/s1600/MMGL0157.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfBusODcBn0/VSp9UZyQ-iI/AAAAAAAHQrA/mY1cGA8CE3k/s1600/MMGL0186.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dljNYLdFxj4/UuzgBaR2dYI/AAAAAAAALnk/pIFqfbOdACc/s72-c/1.jpg)
maandalizi ya maadhimisho ya miaka 37 CCM yaendelea vizuri jijini Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-dljNYLdFxj4/UuzgBaR2dYI/AAAAAAAALnk/pIFqfbOdACc/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4EApdtwPP5s/UuzgE0x2A-I/AAAAAAAALns/d9dEkJGhOhI/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-76BEjwELge4/UuzgN2rlowI/AAAAAAAALn0/UsS-NCZw5IA/s1600/26.jpg)
10 years ago
CloudsFM16 Oct
Mapokezi ya Victoria Kimani na Waje Jana Uwanja wa Julius Kambarage Nyerere International Airport
Msanii kutoka Kenya ,Victoria Kimani (Kulia) aliwasili jana majira ya saa moja jioni katika uwanja wa Julius Kambarage Nyerere International Airport.
Msanii mwingine wa kimataifa atakayetoa burudani ndani ya Serengeti Fiesta Dar 2014 ni WAJE kutoka Nigeria aliwasili Dar jana tayari kukinukisha pande za Leaders Club katika Serengeti Fiesta Dar Jumamosi hii.