Mapokezi ya Victoria Kimani na Waje Jana Uwanja wa Julius Kambarage Nyerere International Airport
Msanii kutoka Kenya ,Victoria Kimani (Kulia) aliwasili jana majira ya saa moja jioni katika uwanja wa Julius Kambarage Nyerere International Airport.
Msanii mwingine wa kimataifa atakayetoa burudani ndani ya Serengeti Fiesta Dar 2014 ni WAJE kutoka Nigeria aliwasili Dar jana tayari kukinukisha pande za Leaders Club katika Serengeti Fiesta Dar Jumamosi hii.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
Construction of Terminal 3, Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam going on well

10 years ago
Michuzi
BAM wins second phase (over €100 million) for extension of Julius Nyerere International Airport Dar es Salaam

on 1st phase of the airportBAM International has received the instruction to proceed with phase 2 of the design and construct contract of the new Terminal 3 of Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam, Tanzania, by Tanzania Airports Authority. The contract value of phase 2 is over €100 million. The contract value of phase 1, awarded to BAM in 2013, was more than €130 million.
The new terminal is designed for the anticipated growth of international air...
10 years ago
Vijimambo24 Dec
PITA PITA YA VIJIMAMBO JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT
11 years ago
GPLMWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE - BIOGRAPHY
Mwalimu Julius Nyerere in a meeting. Julius Nyerere (R) with Benjamin Mkapa (C) and Joseph Warioba (L). Julius Kambarage Nyerere (April 13, 1922 - October 14, 1999) was…
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
Leo ni siku ya kuzaliwa mwalimu julius kambarage nyerere

10 years ago
Vijimambo
10 years ago
VijimamboMKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI NJE YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM JANA
Dotto Mwaibale
MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usimu majira ya saa 2;30.
Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania