Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msumbiji yamaliza mabomu ya ardhini

Msumbiji imefanikiwa kuondoa mabomu yote ya ardhini yaliyotegwa nchini humo baada ya juhudi zilizohusisha kutumiwa kwa panya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI


Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...

 

9 years ago

Mtanzania

Waliofukiwa ardhini siku 41 waanza kuona

Na Paul Kayanda, Kahama

HALI za wachimbaji wadogo waliookolewa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo kwa siku 41 katika machimbo ya Nyangarata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, zinaanza kuimarika huku baadhi yao wakianza kuona.

Kwa mujibu wa taarifa za kitabibu zilizotolewa na Hospitali ya Wilaya ya Kahama, wachimbaji hao wameanza kuona ingawa kwa uoni hafifu, lakini kadiri ya siku zinavyokwenda afya zao zitaanza kuimarika.

Akizungumza jana na MTANZANIA, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Msako wa ndege waanza ardhini China

China imeanza juhudi za kuitafuta katika ardhi yake ndege ya Malaysia iliyotoweka mwishoni tarehe 8 mwezi Machi

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la ardhini la Israel laingia Gaza

Israel imeingia Gaza kwa operesheni ya ardhini,huku ikishambulia pia angani na majini,watu 247 wamefariki na wengi kujeruhiwa

 

9 years ago

Mtanzania

Wachimbaji waokolewa baada ya kufukiwa ardhini siku 41

Pg 1Pg 1BPg 1*Waliishi kwa kula mende, mizizi  

* Waligunduliwa na mchimbaji aliyekwenda kuiba mchanga wa madini

Na Waandishi Wetu, Kahama na Dar

WACHIMBAJI wadogo watano katika mgodi wa Nyangarata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga,  wameokolewa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo ardhini kwa siku 41.

Wakizungumza katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama ambako wamelazwa kwa matibabu jana, wachimbaji hao walisema waliishi siku zote hizo kwa kula wadudu kama mende na mizizi mbalimbali.

Kwa mujibu wa...

 

9 years ago

Bongo5

Mpoto awatembelea waliofukiwa ardhini kwa siku 41 Kahama

11939499_921487764605111_371047303_n

Mrisho Mpoto amewatembelea wachimbaji watano kati ya sita walionusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi kwa siku 41 katika mgodi huko wilayani Kahama walikolazwa.

11939499_921487764605111_371047303_n

Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM leo, Mpoto alisema ameguswa na suala hiyo la kustaajabisha.

“Nilikuwa Shinyanga sasa nikaona kwa sababu hapa Kahama ni karibu ngoja niwatembelee, ni kama sehemu ya ibada. Katika safari ya maisha kila kitu kinawezekana, usipokuwa waliongea sentensi moja kwamba ‘maiti za kwetu madini...

 

5 years ago

CCM Blog

CORONA: WATU WENGI WAKO MAJUMBANINA KUFANYA MTIKISIKO WA ARDHINI KUPUNGUA

Empty streets in ParisHaki miliki ya pichaGETTYImage captionMiji kote duniani haina watu kwasababu ya amri ya kusalia ndani kukabiliana na virusi vya coronaMabilioni ya watu kote duniani kwasasa wanasalia nyumbani kwasababu ya virusi vya Corona - jambo ambalo linabadilisha mwenendo wa dunia.Kwasababu ya amri ya kutotoka nje wanaokwenda kazini ama kutumia usafiri wa reli au wa barabara ni kidogo mno huku kampuni nyingi zikiwa zimefungwa.Ukweli ni kwamba, idadi kubwa ya watu wanafanyakazi kidogo tu kuliko vile...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu wengi wako majumbani na kufanya mtikiso wa ardhini kupungua

Masharti yaliyowekwa kukabiliana na Covid-19 kuna maanisha wengi wahawatumii usafiri wa gari, treni, au kufayakazi viwandani na kubadilisha mwenendo wa dunia.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yamaliza uteja

YANGA imezidi kujikita kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0, mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani