CORONA: WATU WENGI WAKO MAJUMBANINA KUFANYA MTIKISIKO WA ARDHINI KUPUNGUA
Haki miliki ya pichaGETTYImage captionMiji kote duniani haina watu kwasababu ya amri ya kusalia ndani kukabiliana na virusi vya coronaMabilioni ya watu kote duniani kwasasa wanasalia nyumbani kwasababu ya virusi vya Corona - jambo ambalo linabadilisha mwenendo wa dunia.Kwasababu ya amri ya kutotoka nje wanaokwenda kazini ama kutumia usafiri wa reli au wa barabara ni kidogo mno huku kampuni nyingi zikiwa zimefungwa.Ukweli ni kwamba, idadi kubwa ya watu wanafanyakazi kidogo tu kuliko vile...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya corona: Watu wengi wako majumbani na kufanya mtikiso wa ardhini kupungua
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Je janga la corona litasababisha watoto wengi zaidi kufanya kazi?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HnIfupko01o/Xn-eqIiDPiI/AAAAAAALlbQ/m_o7DYB-snA5gAJlVg7LMMrE2Q527DUJQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv725e06959511mcp1_800C450.jpg)
Afisa wa UN: Tathmini za awali zinaonyesha tutapoteza watu wengi kwa mripuko wa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-HnIfupko01o/Xn-eqIiDPiI/AAAAAAALlbQ/m_o7DYB-snA5gAJlVg7LMMrE2Q527DUJQCLcBGAsYHQ/s640/4bv725e06959511mcp1_800C450.jpg)
Kwa mujibu wa gazeti la Al-Yaumu-Sabi'i, Dakta Rola Dashti amesema: "Tathmini za awali kuhusu matokeo hasi ya mripuko wa kirusi cha corona zinatisha mno, kwa sababu tutapoteza watu wengi, hali ambayo haiwezi kufidika."
Katibu Mtendaji wa ESCWA ameongeza kuwa, ajira nyingi zitapotea kutokana na mripuko wa corona,...
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Watoto wengi walioapata corona hawakuonesha dalili
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Wakimbizi wengi Afrika wako Ethiopia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s72-c/5e75f83c8ea98.jpg)
WANAOUGUA CORONA NI WENGI ZAIDI KULIKO WENYE VIRUSI VYA CORONA ...MUNGU TUPONYE NA JANGA HILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s640/5e75f83c8ea98.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
TUKUBALIANE nitakachoelezea hapa hakuna uhusiano na ukweli wa moja kwa moja ila ni mtazamo wangu wa kijinga uliojaa na upumbavu ndani yake.
Nataka kuzungumzia ugonjwa hatari wa COVID-19 ( Corona) ambao umeifanya dunia kuhaha kutafuta kinga yake kwa ajili ya kuokoa maisha ya wanadamu. Corona haina adabu kabisa inakatisha maisha ya watu bila huruma. Ukweli dunia imekosa furaha kabisa kutokana na virusi vya Corona ambavyo havina tiba wala chanjo.
Nenda...
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WAGONJWA WA CORONA YAZIDI KUPUNGUA NCHINI, YASISITIZWA TAHADHARI IENDELEE KUCHUKULIWA
DODOMA, Tanzania
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema idadi ya wagonjwa wa Corona imeendelea kupungua huku baadhi ya vituo vikiwa havina wagonjwa na kwamba kwa mujibu wa takwimu za leo asubuhi Dar es Salaam kuna wagonjwa 11, Kibaha 16 na Dodoma kituo cha Mkonze wagonjwa ni watatu.
Akizungumza mara baada ya sala ya Idd El Fitr katika...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/29.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA WANGAMA AJISALIMISHA CCM, ASEMA WENGI WAKO NYUMA YAKE